Rz 1 si msomi bali ameenda shule
kumbuka :kumbuka hata mlizi wa shule lazima efike shule kuhudhuria lindo lako
Siku saba ni za kisheria kama mhusika hajajibu au kuomba radhi kwa kusema uongo,kinachofuata hata uwe mwezi ni utekelezaji wa kusudio inaweza kuwa mwaka au miaka au mwezi suala ni kuwa muda wa kuomba radhi ushapita.
Kumbe Ridhiwani anaweza kuimanisha siku saba, ikawa miezi saba, Miaka saba, miaka sabini...lol! Kazi kweli kweli
Ukikutana na Baunsa akakutishia kukuny'anga'anya girl friend wako lazima ujitutumue japo unajua anakuzidi nguvu!Mwanasheria, Msomi, mwana wa mfalme RizOne! Siku zile Saba bado? Sijakuona Kisutu.....Mtikila siku unahesabu vipi? Zile zako Saba bado pia?
Amesoma ila yeye ndiye anayeisaidia elimu yake badala ya elimu kumsaidiaRz 1 si msomi bali ameenda shule kumbuka :kumbuka hata mlizi wa shule lazima efike shule kuhudhuria lindo lako
riz 1,mtoto wa rais anaishi kimjinimjini...
Rz 1 si msomi bali ameenda shule
kumbuka :kumbuka hata mlizi wa shule lazima efike shule kuhudhuria lindo lako
Slaa alimwambia kwamba wameshindwa wakubwa yeye ataweza ? Slaa akasema yeye akiweza atakuwa amevunja na kuweka historia , nami nangojea kusikia kesi iko maeneo gani hadi sasa .Alikuwa anatania nadhani au hakuwa na maelezo ya kina juu ua Slaa nini ?