Zion Daughter
JF-Expert Member
- Jul 9, 2009
- 8,921
- 4,236
KAULI MBIU YA MWAKA HUU;Siku hizi Mh. Rais anaiogopa kauli mbiu yake ya Maisha Bora kwa Kila Mtanzania kama ukoma.
Ni kipindi kirefu sasa sijamsikia akitamka kauli hii, sijui safari hii atakuja na kauli mbiu gani???
Tanzania bila ukimwi inawezekana,
Malaria haikubaliki.