Ridhiwani: Hizi si fedheha?

Indume Yene

Platinum Member
Mar 17, 2008
2,950
711
Jamani, kweli nashindwa kupata uelewa. Ni jinsi gani huyu kijana anatukuzwa kiasi hiki!!

Hawa vijana wanatakiwa wawe madarasani, lakini wameenda kuvalishwa sare za kijani bila hata kujua kuwa madaftari yao yakishajaa nani atawanunulia mapya. It's so disgusting watoto hawa kutumia kwa ajili ya maslahi ya mtu binafsi.

Tulliyaona ya Moi na anguko lake likafika.........zamu ya nani sasa? Tumuogope Mungu jamani.


Jionee mwenyewe.

e8rhw9.jpg
 
Wapo hapo angalau wapate hata buku 2. ya pen maana wasinge kuwepo hata hiyo buku 2 wasinge pata.
 
Ukicheki vizuri nyuso zao vijana/watoto utaona shida wanaoishi nayo kila siku, na kwamba wako hapo kwa vitisho na ulazima (labda familia zao zinatumaini watapata chochote) ila Ridhwani ana afya nzuri ajabu ametoka kutoka gari lenye AC na furaha tele.

Wamwogope Mungu! Wajue hakuna kitu cha milele na siku za watanzania kuwaogopa unazidi kupotea. Yaani inasikitisha hii picha, honestly!
 
Haya mambo ndo yanayo nifanye nimchukie Mkwere na CCM ! Dogo anakagua parade
 
Haya mambo ndo yanayo nifanye nimchukie Mkwere na CCM ! Dogo anakagua parade

Mwehu asipokagua gwaride unataka nani akague nadhani una wivu wa kike weye.Mchungaji hayo si maneno yangu nimemnukuu Makamba usije ukaniparura bureee.
 
Mungu wangu tunusuru na walafi na walevi wa madaraka mpaka wanawaambukiza na familia zao.
 
DYNASTY COMING OUR WAY....

A ruler in a dynasty is sometimes referred to as a dynast, but this term is also used to describe any member of a reigning family who retains succession rights to a throne. For example, following his abdication, Edward VIII of the United Kingdom ceased to be a dynastic member of the House of Windsor.

A "dynastic marriage" is one that complies with monarchical house law restrictions, so that the descendants are eligible to inherit the throne and/or other royal privileges. For instance, the 2002 marriage of Willem-Alexander, Prince of Orange to Máxima Zorreguieta was dynastic, and their eldest child is expected to eventually inherit the Dutch crown. But the marriage of his younger brother Prince Friso to Mabel Wisse Smit in 2003 lacked government support and parliamentary approval. Thus Friso forfeited his place in the order of succession, lost his title as a Prince of the Netherlands, and his children have no dynastic rights.

In historical and monarchist references to formerly reigning families, dynastic describes a family member who would have succession rights if the monarchy's rules were still in force. For example, after the 1914 assassinations of Archduke Franz Ferdinand of Austria and his morganatic wife Sophie von Hohenberg, their son Max was bypassed for the Austrian throne because he was not a Habsburg dynast. Even since abolition of the Austrian monarchy, Max and his descendants have not been considered the rightful pretenders by Austrian monarchists, nor have they claimed that position.

The term "dynast" is sometimes used to refer to agnatic descendants of a realm's monarchs, and sometimes to those who hold succession rights through cognatic royal descent. The term can therefore describe overlapping but distinct sets of people. For example, David Armstrong-Jones, Viscount Linley, a nephew of Queen Elizabeth II through her late sister, Princess Margaret, is in the line of succession to the British crown, and in that sense is a British dynast. Yet he is not a male-line member of the royal family, and is therefore not a dynast of the House of Windsor.

On the other hand, the German aristocrat Ernst August, Prince of Hanover (born 1954), although a male-line descendant of George III of the United Kingdom, is a remote descendant with no legal British titles and styles (although he is entitled to re-claim the once-royal dukedom of Cumberland). Yet he was born in the line of succession to the British crown and is bound by the Royal Marriages Act 1772. Thus, in 1999 he requested and obtained formal permission from Elizabeth II to marry the Roman Catholic Princess Caroline of Monaco. But immediately upon marriage he forfeited his right to the British throne because the English Act of Settlement 1701 dictates that dynasts married to a Roman Catholic are considered dead for the purpose of succession. However, the couple's daughter, Princess Alexandra of Hanover (born 1999), remains a legal dynast of both the United Kingdom and Monaco[citation needed], not to mention her father's claim to dynasticity as pretender to the former royal crown of Hanover.
 
33271jc.jpg


Utawala wa kifalme huu!

Huyu mama aliyechuchumaa ndio anataka ubunge au udiwani? Kwani huyo Salma ndio anagawa hizo nafasi mbona kama anabembeleza sana na kusema niko chini ya miguu yako!? Au hiyo ni namna baada ya kukabidhi hilo shada la mauwa? Niko tayari kufa kuliko kufanya upumbafu huo!
 
madaraka matamuuuuu... baba..mama..mtoto... wote wanapigania ulaji!!:confused2:
 
Prince Riz One al Jakaya bin Kikwete of ................................., a.k.a Mwana mfalme
 
33271jc.jpg


hii hapa noma yani huyu hii picha huyu mama ndio aliotoa hayo maua au anaomba msaada? vyovyote kati ya hayo sidhani ni vizuri kwa huyu mama salama kikwete kumuachia huyu mama amchuchumie angemzuia kufanya hivyo kwani ni dalili za utumwa au ndio ufalme wa kikwete anautimiza kwa vitendo zaidi? manake namuona ancheka kabisa na kurizika kwa hilo jambo.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom