Ridhiwani Again

I cant understand!!
kichwa cha nyoka,mwili wa sungura...ridhiwan na viwanja huku mnyika na bunge,nini coincidence hapa
 

You can withdraw your vote to mnyika, watoto wangu 5 wameishafikisha miaka 18, wata replace hiyo kura yako, wale wabunge waliopita kwa miaka mingi na wakiwa chini ya chama tawala walikufanyia nini? mwagia limau akili yako ipate kuwa activated, mnyika bila kuanzia kutungua huko juu serikalini kwenye udhaifu ambako kunazuia wewe usipate maji, unafikiri yeye ni dawasa? tunahitaji mabadiliko.
 
kilichobaki tupige magoti tusali uongozi huu wa kifalme siku ifike na ukomeshwe:sad:
 
BREAKING NEWS ufisadi mwingine wa Ridhiwani Kikwete anunua vile viwanja vya Temeke ambavyo vilikuwa
vinatangazwa sana na Manispaa amenunua viwanja 40 kwa Tshs
4,000,000/= HAKI YA MTANZANIA WA KAWAIDA IPO
WAPI?
Una ushahidi wowote mkuu?
 
Hoja yako haihusiani na topic. Hatahivo unafikiri asipoongelea uandaaji mzuri wa budget na uwajibikaji hizo pesa ya kutoa huduma ubungo itatoka wapi? Huko kukosekana na huduma ni kwa sababu ya ubovu wa watendaji kuanzia kwa Rais.
 
BREAKING NEWS ufisadi mwingine wa Ridhiwani Kikwete anunua vile viwanja vya Temeke ambavyo vilikuwa
vinatangazwa sana na Manispaa amenunua viwanja 40 kwa Tshs
4,000,000/= HAKI YA MTANZANIA WA KAWAIDA IPO
WAPI?

Ipo siku atatemeshwa mpaka nguo ya ndani hakunaga mtereko katika ulimwengu huu ukipata kirahisi ujue kupoteza ni kama upepo tena asishangae na kitanzi kikawa ndo kifo chake siku mageuzi yatakapofanyika
 
hapa ndo wabongo wengi hamueleweki.pamoja na hilo ila mnyika kama mbunge anahaki ya kuikosoa serikali.
na yeye ndicho alichofanya kwa kuikataa bajeti.
moja ya kasoro kuuubwa zilizoko katika bajeti ni fedha kiasi kidogo sana kutengwa kwa ajili ya maji, ujenzi na umeme.
sasa kama ni hivyo unataka mnyika ainyamazie ile bajeti ipite alaf aje atoe hela zakemfukon ili atatue matatizo yaliyopo jimboni kwake??
Toa siasa na usaliti wako hapa kama huna hoja ya maana.
 
Hoja yako haihusiani na topic. Hatahivo unafikiri asipoongelea uandaaji mzuri wa budget na uwajibikaji hizo pesa ya kutoa huduma ubungo itatoka wapi? Huko kukosekana na huduma ni kwa sababu ya ubovu wa watendaji kuanzia kwa Rais.
 
Tuweni makini. Huyu aliyeingiza hoja ya Mnyika anatakata kututoa kwenye Hoja ya wizi wa viwanja wa Ridhiwan. Nashiwishika kuamini Ridhiwan kauziwa hivo viwanja kwa hiyo bei nafuu ndo maana wanaleta hoja ya Mnyika kutusahaulisha. Wanaojua wizi wa viwanja ya Ridhiwan wazimwage.
 

umepotea thread ndugu! Hile thread kuhusu jk nidhaifu sana siyo hii
 
Magwanda hamna hoja mna viroja. Hata bungeni sasa hivi, watu wanapanda wanapiga porojo lakini hawaongelei hoja ya bajeti iliyo mbele yao. Mmepeleka bajeti mbadala ina mapato "0".

dhaifu sana wewe ndio maana povu linakutoka.
 
Tuliandika mwaka jana i think hii inawezekana...................

[url]https://www.jamiiforums.com/jukwaa-la-siasa/155253-vigogo-wa-ccm-wapewa-fadhila-ya-viwanja-geza-ulole-kigamboni.html[/URL]

 

kaka kula gwala!
 
Vipi huu ushauri unatolewa kwa Mnyika katika hii thread ya Ridhiwani?
 

Watu wengine inaelekea hamjisumbu kufikiria.... yaani no crical thnking or analytical thinking........... !! Anachokipigania Mnyika bungeni ndicho hicho!! Sasa kama serikali haitengi pesa za maendeleo, hivi unafikiria maji yatakuja na nini?? Hivi ulishawahi pita Ruvu juu ukaona chanzo cha maji yanapotokea??
 
How is it connected to the original THREAD? Mbaona unatuchanganya?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…