Kachanchabuseta
JF-Expert Member
- Mar 8, 2010
- 7,269
- 675
WanaJF
Katika hali ya kusikitisha na kusitajabisha mnamo mwezi wa sitta manisipaa ya temeke ilitoa tangazo la
kuuza viwanja 2800 lakini 742 ndo vilivyogwawiwa. siku hiyo wananchi walipanga msitali tokea asubuhi mpaka
saa 10 jion lakini cha kushangaza watu waliopata viwanja ni wale vigogo wa siku zote ina mana siku hawana viwanja??
kwanini kila kitu wanachukua wao??
1. George mkuchika na mtoto wake
JE hawa pamoja na kuiibia serikali hawajalizika naviwanja walivyonavyo?
2. M mwandosya
Kwanin huyu mtu aliwaachia wanaanchi wa kawaida wakapata?
3. khalfani kikwete
Sijui hapa nisemeje?
4. Pinda chana
Hawa wanaendelea kutunyonya
5. R. Dau
Kanyonya sana NssF? na huku tunahesabu maumivu
6. Said mek sadiki na mke wake
Na ukaimu mkuu wa mkoa huna kiwanja?
7 Sophia simba
Sijui huyu anataka viwanja na pesa zote amiliki yeye?? epa??
8. Omari Mzee (zanzibar)
9. HAwa Ghasia na ndugu zake
List ni ndefu ukifika pale temeke utaona watoto wengi wa vigogo ndo wamepota\
HUU NI UNYONYAJI KWA WATANZANIA WA HALI YA CHINI
Katika hali ya kusikitisha na kusitajabisha mnamo mwezi wa sitta manisipaa ya temeke ilitoa tangazo la
kuuza viwanja 2800 lakini 742 ndo vilivyogwawiwa. siku hiyo wananchi walipanga msitali tokea asubuhi mpaka
saa 10 jion lakini cha kushangaza watu waliopata viwanja ni wale vigogo wa siku zote ina mana siku hawana viwanja??
kwanini kila kitu wanachukua wao??
1. George mkuchika na mtoto wake
JE hawa pamoja na kuiibia serikali hawajalizika naviwanja walivyonavyo?
2. M mwandosya
Kwanin huyu mtu aliwaachia wanaanchi wa kawaida wakapata?
3. khalfani kikwete
Sijui hapa nisemeje?
4. Pinda chana
Hawa wanaendelea kutunyonya
5. R. Dau
Kanyonya sana NssF? na huku tunahesabu maumivu
6. Said mek sadiki na mke wake
Na ukaimu mkuu wa mkoa huna kiwanja?
7 Sophia simba
Sijui huyu anataka viwanja na pesa zote amiliki yeye?? epa??
8. Omari Mzee (zanzibar)
9. HAwa Ghasia na ndugu zake
List ni ndefu ukifika pale temeke utaona watoto wengi wa vigogo ndo wamepota\
HUU NI UNYONYAJI KWA WATANZANIA WA HALI YA CHINI