DALLAI LAMA
JF-Expert Member
- Jan 31, 2012
- 8,651
- 2,627
Humu mi ni mgeni sana ila nlipatamani mda mrefu,hoja yangu ya kwanza ndo hii.inafahamika skendo ya richmond ilivomtese lowassa mpaka sasa ana2mia fund kujisafish ktk makanisa kisa magogoni,vp wenzangu mana mmeskia kuna hoja ya MNYIKA ktk bunge lililoanza kuhusu richmond,itamnusuru ama ndo ITAMMLIZA?