ERoni
JF-Expert Member
- Jan 9, 2013
- 54,719
- 127,655
Mkuu , this is news to me!.
Kwa ninavyofahamu mimi, Joyce alichukua nafasi ya Kiondo Mshana pale Guardian akawa anashika both, hivyo inawezekana sasa amepunguziwa majykumu na kubaki na position moja!.
Licha mimi ku run Saba Saba series hapo ITV, hii sijaisikia!. Kesho Mzee Mengi, anatinga Saba Saba hivyo nitaisikia!.
Pasco
The Boss atakuwa ameelewa vibaya. Nafasi aliyokaimu The Guardian ndiyo aliyopewa mwingine. Nafasi yake ITV/Radio One imebaki pale pale...
Last edited by a moderator: