kama unaishi maeneo ya kinondoni au ubungo nk pitia pale hongera bar kuna mwamba anaviuza pale utashindwa wewe mkuuSoft copy ninayo mkuu shida yangu ilikua hard copy maana kuperuzi soft copy kwenye PC au Simu macho yanapata shida kidogo na mwanga.
Sent using Jamii Forums mobile app
Kwa anayetaka motivationa na inspiration books kama hizo hapa Dsm anichekiBei ina range 15,000 to 25,000 kutegemeana na sehemu unaponunulia.
Soft copy yake ninayo bureView attachment 1040512
Pengine hili sio jukwaa sahihi kwa chapisho hili lakini ninhependa kufahamishwa tu kwa hapa dar wapi nnaweza pata kitabu hicho cha Robert Kiyosaki? Na pia nkipewa na bei ntashkuru sana.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahahhahahahhahanenda kaprint hiyo softcopy
Nitumie softHicho hapo mkuu. Kama unataka hard copy hapo ingia tu kwenye bookshops utakipata. Huwezi kukosa.View attachment 1040515
Poa.Kwa anayetaka motivationa na inspiration books kama hizo hapa Dsm anicheki
Bei 13k
Hata ukitaka pic 1000
Soft copy ninayo mkuu shida yangu ilikua hard copy maana kuperuzi soft copy kwenye PC au Simu macho yanapata shida kidogo na mwanga.
Sent using Jamii Forums mobile app[/