Rich Dad, Poor Dad by Richard T. Kiyosaki

Wanajiamii sasa tunaelekea kuzuri sana. Kiyosaki ana vitabu ingi vizuri na kitabu chake cha kwanza ni hiki rich dad Poor dad,vingine ni....1. Cash flow Quadrant, 2. Retire young retire rich, 3. why dou we want you to be rich, 4. the business school. ni vitabu ambavyo hutachoka kusoma and for any serious reader siku tatu zinatosha kumaliza copy moja. One thing i assure you, after you have finished reading these books utaona hapa duniani unachezea maisha! unapoteza muda wako hapo unapopatia rizki ya wanao!. Pia kuna jamaa anaitwa Burke Hedge, ni mkali sana, huyu ni gwiji la network marketing business.... soma Parable of the pipeline na the Biz dot com. Ni hatari kubwa! WaTZ wengi wanadhani network marketing ni ujinga na wengine ambao ni wajinga zaidi wanafiiri ni uchawi.....Kuhusu network marketing, kiyosaki ameongea sana katka kitabu chake cha business school.....Twende kazi!
 
the business of 21st Century cha Kiyosaki pia ni kitabu kizuri kukisoma, nimesoma vitabu vya huyu bwana na I highly recomend them kwa mtu ambae bado! hutatoka kapa...ila waweza pia kuandika barua ya kuacha kazi baada tu ya kumaliza kuvisoma!
 
Its one of the best book I have read from my school time, it has changed my whole life. For a businessman its a full of knowledge and haven't read that book...retire
 
It is one of the best books i have ever read...!!!! Since the day i read it i have been occupied by thoughts of employing my self though currently im employed and paid well!!!
 
Binafsi nimepata nguvu za kufanya biashara baada ya kusoma hiki kitabu,siku zote nilikua naongea tu,lkn sasa nimeweza kufanya.

Nothing comes to a sleeping man but dreams-Tupac Shakur
 
Mkuu nakubali hiki ni kitabu ambacho mjasiriamali yeyote serious anatakiwa kukisoma. Huwezi kubaki ulivyokuwa mara baada ya kukisoma
mim nimekipata last year design kama vile cpendi kuajiriwa na ilibaki kidogo tu ni drop school aisee...
 
Ni Retire Young Retire Young, nilikuwa nimekosa molale ya kusoma, kufanya assignment na tests. Nimekisitisha kukisoma nimalize chuo kwanza, mwez wa 6. Kweli kabisa, vitabu vnaamsha xana ya kuendesha business yako.
 
Mi ninacho lakini kipo katika hali ya pamphlet na hakina kurasa zote.Ningependa kupata kitabu chote kabisa.Ni bei gani na kina kurasa ngapi?Mi nimeanzia ukarasa wa 3 mpaka 28.Nitakuwa nimekosa vitu vingi sana?Naomba mwenye kujua aniambie.Pia kama kuna kingine fabolous kama hicho naomba jina na bei.Natanguliza shukrani wakuu.
Nenda scholastica bookshop pale mlimani city,kipo Tsh 30,000/- pia chukua cash flow quadrant ni kizuri sana if ua interested in business
 
the business of 21st Century cha Kiyosaki pia ni kitabu kizuri kukisoma, nimesoma vitabu vya huyu bwana na I highly recomend them kwa mtu ambae bado! hutatoka kapa...ila waweza pia kuandika barua ya kuacha kazi baada tu ya kumaliza kuvisoma!

nakubaliana nawewe!nimevisoma sana vitabu vyake. I thank God vimenisaidia na sasa nimejiajiri ,kabla nlikuwa mwajiriwa
 
best book ever, inspirational kwa mtu yeyote mwenye fikra za ujasiriamali. inataka moyo apply yaliyozungumzwa mule, kwa maisha ya bongo ni ngumu zaidi, mazingira ya kibiashara ni magumu sana.
 
Useful thread.. Tafadhali mwenye soft copy ya Retire young Retire rich anisaidie.

Sent from my BlackBerry 9300 using JamiiForums
 
kwakweli ulikuwa lucky kukisoma high school, mana mm nimechelewa kukisoma nikasoma wakati nimeshaanza kazi
The best book I have ever read in my life, it changed my whole life. If you want to be a businessman and haven't read that book, I am sorry for you. Lucky for me I read the book in high school.
 
ngoja nikakitafute hicho cha retire young retire rich, nianze kuandaa na library kwa ajili ya watoto wangu
Wanajiamii sasa tunaelekea kuzuri sana. Kiyosaki ana vitabu ingi vizuri na kitabu chake cha kwanza ni hiki rich dad Poor dad,vingine ni....1. Cash flow Quadrant, 2. Retire young retire rich, 3. why dou we want you to be rich, 4. the business school. ni vitabu ambavyo hutachoka kusoma and for any serious reader siku tatu zinatosha kumaliza copy moja. One thing i assure you, after you have finished reading these books utaona hapa duniani unachezea maisha! unapoteza muda wako hapo unapopatia rizki ya wanao!. Pia kuna jamaa anaitwa Burke Hedge, ni mkali sana, huyu ni gwiji la network marketing business.... soma Parable of the pipeline na the Biz dot com. Ni hatari kubwa! WaTZ wengi wanadhani network marketing ni ujinga na wengine ambao ni wajinga zaidi wanafiiri ni uchawi.....Kuhusu network marketing, kiyosaki ameongea sana katka kitabu chake cha business school.....Twende kazi!
 
naomba nondo kama hizi kama mtu anakua na soft copy atuwekee,huku Jf napenda kitu kimoja kikubwa ni ushirikiano na kusaidiana tena kama vile tunafahamiana in reality maana hivi vitabu ni ghali sana wengine hatumudu kununua,kuna mtu aliniwekea vitabu fulani humu ikiwemo kile cha research by Kothari kimekua msaada sana kwa mdogo wangu ambaye naye amewapa copy wengine,shukrani sana kwa member

Mkuu, mbona sio ghali kama unavyofikiri. Mfano, Richdad Poor Dad ni 20, Guide to investment 22, Cashflow quadrant 22, Retire young nimechukua kwa 15. sijaona kitabu chake kinachozd laki 1. Ana programs zake za coaching online kupitia Richdad.com, per month unalipia USD 49. Ni kiasi kidogo ambacho huwez linganisha na kile unachokipata, na sio lazima ununue vyote kwa pamoja. Zaidi naomba ufahamu hivi, Never let your mind you cannot have it, Think how are going to afford it...
 
Back
Top Bottom