Remmy
JF-Expert Member
- Jun 9, 2009
- 4,701
- 1,799
Barca wako mbele kwa goli tatu.
Hiyo mechi imenipita nasikitika. Ila kila la kheri Barca!
Barca wako mbele kwa goli tatu.
Niko poa kabisa vipi weekend inaendaje
chakachua ndo inaifanya chit chat iwe juu. We hujui tu...
Ipo tu nothing new.
ok pouwa pia sina jipya navuta muda nilale tu
Hajajua huyu...hata mods huku huwa wanachakachua thread lol
natania tu hawachakachui bhana
Unaogopa kupigwa ban enheee...
Ban siogopi ila sio nzuri...halafu hadi kupigwa ban ntakuwa nimefanyaje...lol ni ngumu sana ingawa jukwaa la siasa nikienda kiukweli pagumu magamba wanakera sana
Ban inauma aisee japo sijawahi kuipata. Kule Jukwaa la siasa yataka moyo....wote wanamaudhi Magamba Na MAGWANDA pia... Kwa matusi hawajambo. Bora huku Na MMU kuna Upendo.
Teh numecheka sana..
Kule watu wako kazini lol
Hawataki mchezo na wako tayari kwa ban
tunaruhusiwa kutuma dedication BADILI TABIA
Natuma salama kwa brother BAK
na wimbo wa Fransisca kutoka kwa Fauvette umfikie popote alipo..kwa mala ya mwisho tuliusikiliza mwaka 1970 ,,
Kule wana multiple IDs wakipigwa ban anaruka Na nyingine. Ila ni kuzuri kwa info.
Kaizer kwa sababu wewe ni utamalizia mwenyewe......mitaa ile tumepata baby gal..Na mimi unanidediketia gani FL1?