gfsonwin
JF-Expert Member
- Apr 12, 2012
- 18,274
- 20,673
Zaidi ya hayo uliosema hapo nadhani this will help consolidate that patriotic feeling ya wakati ule. Of course I believe the content of the course will also be adapted so as to nurture this.
there you are madame!
Let me tell you, umefika wakati tuletewe tena sera ya elimu tuijadili kisha serikali isikilize mawazo yetu. Infact we have a lot to tell and i can tell you Roulette am among the most disturbing teachers ambaye huwa siishiwi kuishauri serikali kwa maandish with valid urgument but yaani utaishia kupewa kikombe cha chai kwenye maofisi yao ukiondoka ndo basi inawekwa kwenye shelfu till death.
Last edited by a moderator: