Lole Gwakisa
JF-Expert Member
- Nov 5, 2008
- 4,728
- 2,259
Mambo yote hayo ndiyo yanayomaanisha siasa. Pamoja na mambo yote hayo, CHADEMA wanaonekana kuzichanga vizuri karata zao tofauti na CCM ambao wamekalia kujiaminisha kuwa wao ni chama kinachopendwa na watu wengi bila wao kuonyesha kuwa wako karibu na wananchi na wanawapenda watu masikini (90% ya watanzania). Ubinafsi na unafiki wa viongozi wa CCM ndiyo chanzo cha kukiua chama chao taratibu (Killing the party slowly but surely).
Mkuu mtu ukiwa muflisi wa mawazo ndo una ongea kama ulivyopost.
10% ya hao unawainisha kuwa si masikini(matajiri) wanatoka chama kipi? Na kama Chadema ilipanga karata zake vizuri inakuwaje basi bado wako upinzani.