Revealed: Operation Bomoa CHADEMA Mbeya, Mpango Mzima Episode 1..

Mambo yameanza kuwa hadharani kuhusu Shitambala, aliyekuwa mwenyekiti wa CHADEMA mkoa wa Mbeya…


Mkakati ulisukwa na JK mwenyewe kupitia watu wanne ambapo watatu ni wakazi wa mkoa wa Mbeya na mmoja anatoka nje ya Mbeya, rafiki wa Shitambala wa muda mrefu…


Mtu wa kwanza ni Mwaikela ambaye ni mfanyabiashara wa madini mkoani Mbeya…Mwaikela ni moja kati ya watu waliokua kwenye orodha ya wafanyabiashara wa madawa ya kulevya ambayo alikabidhiwa JK, surprisingly, Mwaikela kwa sasa ni rafiki mkubwa sana wa JK.


Mwaikela ndiye aliyemuunganisha Shitambala na JK, pia alimuunganisha na Jenerari Mboma, mtu wa pili katika hili gemu..


Mboma aliweza kumshawishi Shitambala aharibu uchaguzi wa Mbeya vijijini, kwa ahadi ya kwamba atalichukua jimbo 2015 kupitia CCM…


Baada ya hapo, JK akamuomba mtu wa tatu, Mwandosya ili akamfikishie ujumbe Shitambala pamoja na viongozi wengine wa CHADEMA mkoani Mbeya jambo ambalo walifanikwa kwani hata katibu wa mkoa wa CHADEMA nae ni miongoni mwa watu ambao wanaendelea kunufaika na pesa za hao mafisadi…Katibu wa mkoa wa CHADEMA ambae nae ni moja kati ya viongozi wanaoendelea kutumika; ataondoka au atabaki ndani ya chama lakini kwa ajili ya kazi maalumu…
(CHADEMA SHOULD TAKE A NOTE ON THIS!!!). Mkakati mwingine walionao ni pamoja na kuwanunua vijana mkoani Mbeya ili kuvunja ngome ya CHADEMA ambayo imewekeza kwa kiasi kikubwa kwa vijana hao, hasa wa vyuo vikuu…


Mtu wa nne katika huu mpango ni waziri kijana katika serikali ya JK, jina litafutia soon…


NB:
Mwaikela, mhitimu wa darasa la saba, ana mpango wa kugombea ubunge jimbo la Mbeya Mjini na anadai kufikia mwaka 2015 atakuwa amepata digrii!!! Pesa kutoka CCM zinapitia kwa Mwaikela na baadae kuwafikia viongozi wa CHADEMA.. Wengi wangekua tayari wamehama tatizo, Shitambala aliwazidi spidi ya kula hizo pesa...
Huyu George Mwaikela au baba Clinton,kafariki juzi katika ajali ambayo mpaka sasa mimi naona imekaa kiutata utata,huyu bwana alipata ajali saa kumi za usiku maeneo ya bandari kurasini,nimejiuliza sana alikuwa kafuata nini saa kumi za usiku bandari huko,sasa kama ni huyu jamaa basi kweli ccm wameishiwa.Huyu alikuwa maarufu sana Mbeya kwa dhuluma.
 
Huyu George Mwaikela au baba Clinton,kafariki juzi katika ajali ambayo mpaka sasa mimi naona imekaa kiutata utata,huyu bwana alipata ajali saa kumi za usiku maeneo ya bandari kurasini,nimejiuliza sana alikuwa kafuata nini saa kumi za usiku bandari huko,sasa kama ni huyu jamaa basi kweli ccm wameishiwa.Huyu alikuwa maarufu sana Mbeya kwa dhuluma.

Roho yake iwekwe mahali inapostahili , DO NOT SAY RIP ,hiyo itakuwa ni kama kuingilia majukumu ya M/Mungu.
 
kwani kuna mtu anafanya siasa Tanzania Zanzibar au Tanzania Tanganyika kwa nia njema ya Taifa? tusijidanganye, woooote pesa tu! maslahi ya ndo siri ya kweli ya sababu.

Watu kama huyu wa kufuatiliwa kwa ukaribu wana mawazo ya kuhongwa na kutumika... note..
 
Kwa matokeo ya juzi vituo 34 chadema 2 ccm jamaa wanapaswa kujipanga sana, Sugu anaweza kuonekana mwepesi katika kujenga hoja bungeni lakini anacheza vizuri siasa za vijana jimboni kwake, na hata sasa nenda popote na halafu tangaza uwepo wa sugu hutakosa watu kwenye mkutano wako, ana nguvu ya asili ya kupendwa
 
Kwa matokeo ya juzi vituo 34 chadema 2 ccm jamaa wanapaswa kujipanga sana, Sugu anaweza kuonekana mwepesi katika kujenga hoja bungeni lakini anacheza vizuri siasa za vijana jimboni kwake, na hata sasa nenda popote na halafu tangaza uwepo wa sugu hutakosa watu kwenye mkutano wako, ana nguvu ya asili ya kupendwa

Mbeya Nchi Sugu Raisi,muulize Mwigulu!!!
 
kuweni makini na uzi huu hii ni propoganda ya kuwachonganisha wana chadema
 
watu wa mbeya wasasa tofauti na kipindi cha nyuma wamekuwa waelewa sana tofauti na mnavyo sema mbeya tuna ukabila ni propaganda zenu ccm mbeya yote kwasasa cdm ndio mpango mzima ninyi mnaishi mbeya ipi mpaka mseme kuna ukabila, acheni uongo ccm ninyi jiandaeni 2015 kupoteza majimbo mengine hao wasafwa mnao wasema wanaipenda cdm nendeni ituha,isyesye,mwansekwa,uyole nk mjionee bendela za chadema zinavyo pepea
 
Nimeshirika siasa za mbeya nikiwa katibu wa muda wa baraza la vijana wa CHADEMA,kwa watu wenye misimamo ya kipekee kama nilivyosimama mimi pale kwa kipindi kile shitambala anahama chadema na eddo makata mwamalala tulishamtilia shaka...mimi mwenyewe nilifuatwa na baadhi ya viongozi wa ccm wakinitaka nijiunge na ccm lakini kutokana na historia yangu nikawaambia "SIWEZI KUWA MNAFIKI KUJIFANYA NAIPENDA CCM WAKATI SIIPENDI KUTOKA ROHONI NA PIA NILIWAULIZA WALIKUWA WAPI KIPINDI SIJASIMAMA KISIASA??WAMESUBIRI NIMEPIKWA NDIO WAJE KUVUA SAMAKI KWENYE "TENGA"",,,SO SIASA YA MBEYA CCM WAMECHELEWA KUDIZAINI MAANA WANA MIKAKATI NASI TUNA MIKAKATI...MBEYA FOR EVER NI CHADEMA.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom