Revealed: Mulugo Waziri Mdogo wa Elimu "KIHIYO"

Status
Not open for further replies.
lakin pia hawa si huwa wanandikiwa hizi speech? manake si ndo kazi ya afisa habari wa wizara? ama nakosea? manake kama aliandikiwa hotuba basi alomwandikia alimpeleka chaka purposely na inaelekea hakufanya proof reading before presentation. ama la hana presentation skills zilizompelekea kukosa kujiamini na hata kuchanganyikiwa katika kusoma.......

Kwenye slide show inasema "Tanzania was formed in 1964 by unifying the Indian Ocean Islands of Pemba and Zanzibar and the mainland territory formerly known as Tanganyika". Unaweza kuisoma in pdf hapa: http://africanbrains.net/ia/wp-content/uploads/2012/10/Hon-Philipo-Augustino-Mulugo-Deputy-Minister-of-Education-and-Vocational-Training-Tanzania.pdf

Kwa hiyo, sidhani kama aliyeandaa hiyo slide show or speech aliweka "Zimbabwe" badala ya "Zanzibar"

Pamoja na hayo still alieyendaa hiyo presentation amekosea sehemu nyingi. Kwa mfano tuseme Waziri alisoma kama ilivyokuwa kwenye slid show kuwa "Tanzania was formed in 1964 by unifying the Indian Ocean Islands of Pemba and Zanzibar and the mainland territory formerly known as Tanganyika".

Hiyo sentensi imekaa sawa kweli? Kingereza changu ni cha kuzugazugali lakini kila nikiisoma hiyo sentensi naona kama ina makosa.

Lakini pamoja na hayo, was that sentence relevant in that particular presentation anyway?





 
Last edited by a moderator:
Mbona Guinness wanatubania hivi jamani? Yaani na maajabu yote haya bado tu hatujaingizwa kwenye records za maajabu?Hivi tumewakosea nini Guinness?

1: Watoto wanafaulu mtihani wa darasa la saba hawajui kusoma na kuandika.
2: Nchi ya tatu kwa kuombaomba duniani ilhali haijawa kwenye vita kwa kipindi kirefu na ina resources za aina zote.
3;Waziri Mulugo na presentation yake ya juzi.
4:................................
5:...............................
etc

Guinness hamna haya jamani,tupeni haki yetu jamani?
 
Kama Mulugo ni kilazza basi aliyemteua atakuwa ni kilazzza zaidi !

Nadhani hapa sasa kama unawasema vibaya wananchi.. walio mteua kuwa mbunge na kupata uwaziri... Au mr amimu ni mbunge wa kuteuliwa
 
Ni ukimwa wetu ndiyo unaowafanya wajione wanaweza,
Ni ukimya wetundiyo unaowafanya waone hatuwezi,
Ni ukimywa wetu hata wakituaibisha wanaamini hatuwezi kufanya kitu,
Hata lini....
hadi lini...

Mulugo ni naibu waziri (waziri mdogo) ambaye hana sifa ya elimu ama weledi kuingia katika siasa na wizara aliyoshika.

Elumu ya msingi alirudia mara kadha hadi kuingia Mbeya Day Secondary School mwaka 1990 na kumaliza 1993 ambapo alikuwa akitumia jina la Amimu. Matokeo ya kidato cha Nnne alipata Division 0 (alizungusha).
Wala usishangae walivyandika katika Tanzania Daima la 24/10/12 kuwa" Mulugo amejieleza kuwa kati ya mwaka 2000 na 2004 alifanya kazi ya ualimu katika Shule ya Sekondari Southern Highland, huku akiwa hajapata mafunzo yoyote ya taaluma ya ualimu."

Hajawahi kusoma A levele wala Open University. taarifa za uhakika ni kuwa hadi 2004 alkiwa mwalimu wa Southern Highland alikuwa hana sifa yoyote ya kazi hiyo wala kuanza kusoma.

Yote yaliyoandikwa kuhusu A level na Chuo ni magumashi.

Tune in more to come.

Tunashukuru kwa taarifa tupe Cv ya aliyemteua.
 
kiukweli nimeingalia ile hotuba kwa makini kabisa nikagundua kua huyu jamaa hana sifa. maana ukiangalia maneno yanayotokea kwenye projector yako sa hihi kabisa lakini anayoyasoma sasa ndo balaa.
 
Tunahitaji chanzo cha uhakika, vinginevyo na sie wenye vyeti tutaonekana hatukuvipata kihalali. Let us make a bit of a research before coming to the conclusion.
 
Ukimwa, ukimya, ukimywa, and still you have the guts to point a finger at your fellow Mulugo!? ondoa kibanzi........ ndipo utoe boriti............, nimepita
 
Ndugu yangu umenena vyema sana kwa kweli huyu jamaa teuzi zake nyingi ni utata yaani mtu kama Mlugo ina maana mkuu alisoma CV yake akaona anaweza kusimamia elimu ya nchi hii kweli president anawatania wananchi
Kama Mulugo ni kilazza basi aliyemteua atakuwa ni kilazzza zaidi !
 
Jaman hata kama Mulugo hana elimu lakini jamaa anapiga kazi. Suala la elimu sio muhimu sana endapo kazi zinafanyika. Tusiwe watu wa ku-criticize kila kitu. Ukiishi na mentality ya kukosoa kosoa tu una-block kufikiri kwako. Mbona Chadema tuliweka mgombea mwenza darasa la saba? Waberoya aliweka uzi hapa jf kuwa Slaa(PhD) alishinda ila 'vyombo' ya dola havikutaka, suppose Slaa angekubaliwa na hivyo vyombo inamaana tungekuwa na VP darasa la saba! Tumtendee haki naibu waziri jamani anafanya kazi jamaa.

ina maana hujaelewa kwa nini watu wanamsema huyu ndugu yako? Asingechemka nani angamjua wala kumuongelea?
 
kwa maelezo yako yanatoshelesha kuwa kazi aliyopewa haiwezi na hata ukimwambia kuwa alichemka hawezi hata kukuelewa maana angekuwa amesoma hiyo open university basi angeweza kujua hata VETA,NACTE na awards ambazo zinatolewa na vyuo vya Tanzania kuanzia level 1 to level 12 yaani anasema tena kwa sauti kabisa kuwa National Technical Award level 9 to 12 the NACTE over Higher National Diploma? kwa heshima anabidi aliyemchagua amwombe ajiuzulu tu maana yeye hawezi kutambua hata kama alichofanya ni kosa maana hajui kabisa na anategemea kupata pongezi kwa kazi nzuri ya kuiwakilisha Taifa


Ni ukimwa wetu ndiyo unaowafanya wajione wanaweza,
Ni ukimya wetundiyo unaowafanya waone hatuwezi,
Ni ukimywa wetu hata wakituaibisha wanaamini hatuwezi kufanya kitu,
Hata lini....
hadi lini...

Mulugo ni naibu waziri (waziri mdogo) ambaye hana sifa ya elimu ama weledi kuingia katika siasa na wizara aliyoshika.

Elumu ya msingi alirudia mara kadha hadi kuingia Mbeya Day Secondary School mwaka 1990 na kumaliza 1993 ambapo alikuwa akitumia jina la Amimu. Matokeo ya kidato cha Nnne alipata Division 0 (alizungusha).
Wala usishangae walivyandika katika Tanzania Daima la 24/10/12 kuwa" Mulugo amejieleza kuwa kati ya mwaka 2000 na 2004 alifanya kazi ya ualimu katika Shule ya Sekondari Southern Highland, huku akiwa hajapata mafunzo yoyote ya taaluma ya ualimu."

Hajawahi kusoma A levele wala Open University. taarifa za uhakika ni kuwa hadi 2004 alkiwa mwalimu wa Southern Highland alikuwa hana sifa yoyote ya kazi hiyo wala kuanza kusoma.

Yote yaliyoandikwa kuhusu A level na Chuo ni magumashi.

Tune in more to come.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom