Mnyamahodzo
JF-Expert Member
- May 23, 2008
- 1,932
- 985
Ni ukimwa wetu ndiyo unaowafanya wajione wanaweza,
Ni ukimya wetundiyo unaowafanya waone hatuwezi,
Ni ukimywa wetu hata wakituaibisha wanaamini hatuwezi kufanya kitu,
Hata lini....
hadi lini...
Mulugo ni naibu waziri (waziri mdogo) ambaye hana sifa ya elimu ama weledi kuingia katika siasa na wizara aliyoshika.
Elumu ya msingi alirudia mara kadha hadi kuingia Mbeya Day Secondary School mwaka 1990 na kumaliza 1993 ambapo alikuwa akitumia jina la Amimu. Matokeo ya kidato cha Nnne alipata Division 0 (alizungusha).
Wala usishangae walivyandika katika Tanzania Daima la 24/10/12 kuwa" Mulugo amejieleza kuwa kati ya mwaka 2000 na 2004 alifanya kazi ya ualimu katika Shule ya Sekondari Southern Highland, huku akiwa hajapata mafunzo yoyote ya taaluma ya ualimu."
Hajawahi kusoma A levele wala Open University. taarifa za uhakika ni kuwa hadi 2004 alkiwa mwalimu wa Southern Highland alikuwa hana sifa yoyote ya kazi hiyo wala kuanza kusoma.
Yote yaliyoandikwa kuhusu A level na Chuo ni magumashi.
Tune in more to come.
Ni ukimya wetundiyo unaowafanya waone hatuwezi,
Ni ukimywa wetu hata wakituaibisha wanaamini hatuwezi kufanya kitu,
Hata lini....
hadi lini...
Mulugo ni naibu waziri (waziri mdogo) ambaye hana sifa ya elimu ama weledi kuingia katika siasa na wizara aliyoshika.
Elumu ya msingi alirudia mara kadha hadi kuingia Mbeya Day Secondary School mwaka 1990 na kumaliza 1993 ambapo alikuwa akitumia jina la Amimu. Matokeo ya kidato cha Nnne alipata Division 0 (alizungusha).
Wala usishangae walivyandika katika Tanzania Daima la 24/10/12 kuwa" Mulugo amejieleza kuwa kati ya mwaka 2000 na 2004 alifanya kazi ya ualimu katika Shule ya Sekondari Southern Highland, huku akiwa hajapata mafunzo yoyote ya taaluma ya ualimu."
Hajawahi kusoma A levele wala Open University. taarifa za uhakika ni kuwa hadi 2004 alkiwa mwalimu wa Southern Highland alikuwa hana sifa yoyote ya kazi hiyo wala kuanza kusoma.
Yote yaliyoandikwa kuhusu A level na Chuo ni magumashi.
Tune in more to come.