Revealed: Mulugo Waziri Mdogo wa Elimu "KIHIYO"

Status
Not open for further replies.
Alisoma Songea Boys.Kuna Mzee mmoja alikuwa Boss alimfundisha Mulugo Songea Boys, sina hakika alisoma level gani. Nakumbuka aliwahi kutoa computer 5 kwenye ofisi yetu kama zawadi na shukrani kwa Mwalimu wake.Ila jamaa ni kilaza mno

Kwenye CV yake anaonyesha Box 2 alisoma A level. Jiulize ni kweli form six wa 1996 ambaye pia akawa anafundisha O level anaweza akawa na kiingereza kibovu vile si cha kuonge tu bali hata utamkaji wa maneno?
Huyo boss ni nani? Unajua hata Rostam Azizi alipata watu wa kumsaidia kuwa ni kweli yeye ni mzaliwa wa Tabora; lakini anapoulizwa yeye mwenyewe ikiwa wewe ni mzaliwa na mkulia Tabora tuambie ulisoma na wakina nani shule ya Msingi hajawahi kumtaja hata mmoja? Sasa tusaidie kwa kumuuliza Mbeya Day ulisoma na wakina nani na Songea boys ulisoma na wakina nani? Ikiwa ulisoma Box 2 ulikaa bweni gani? Kama haitoshi centre yenu ya OUT Mbeya ilikuwa wapi na mlikuwa mnasoma na wakina nani?
Kama kwa Rostam iliwezekana sembuse kwa Mulugo wa kuchonga kuwapata wawili?

Indicator ya kujichanganya kwa kutoweka madesa sawa ni hii; akiisha kuchukua cheti cha kufuji cha Philip Mulugo akatengeneza kuwa Form I-IV alisoma 1990-1993,darasa la kwanza alianza lini? Akafanya 1989 - 7 =1982, bonge la kosa jingine. Wakati alipaswa kusema 1983.

Mulugo sema ukweli, uliposhindwa mara ya kwanza drs ulikwenda kurudia darasa la ngapi kabla yahamia Mbeya mjini kisha kuchaguliwa Mbeya day?

Tunakwenda mpaka umalila kuchukua data zaidi za wazazi, wanarika wake shule, mwalimu aliyemsaidia mpango wa kukariri, majibu ya NACTE 1993 [kutoka vitabuni, kwani yaliku bado hayajaanza kuwekwa ktk mtandao]

Akijichanganya tu kaumbuka.
 
jambo ambalo sielwi hapa ni kwamba, mbona yuko kimya sana na simuoni waziri mkuu akitoa tamko juu ya huyu waziri? manake nafikiri kwa aibu aliyoitoa kwa taifa anapaswa kabisa kuambwa na bosi wake kwamba umetuaibisha na kwa kitendo hki pumzika kwanza

lakin pia hawa si huwa wanandikiwa hizi speech? manake si ndo kazi ya afisa habari wa wizara? ama nakosea? manake kama aliandikiwa hotuba basi alomwandikia alimpeleka chaka purposely na inaelekea hakufanya proof reading before presentation. ama la hana presentation skills zilizompelekea kukosa kujiamini na hata kuchanganyikiwa katika kusoma.

but to be genuine ninge resign manake siwez kusimamia idara ambayo hata tu mfumo wa ke siujui. NACTE inatoa phd na masters???????
 
.... Unajua hata Rostam Azizi alipata watu wa kumsaidia kuwa ni kweli yeye ni mzaliwa wa Tabora; lakini anapoulizwa yeye mwenyewe ikiwa wewe ni mzaliwa na mkulia Tabora tuambie ulisoma na wakina nani shule ya Msingi hajawahi kumtaja hata mmoja? Sasa tusaidie kwa kumuuliza Mbeya Day ulisoma na wakina nani na Songea boys ulisoma na wakina nani? Ikiwa ulisoma Box 2 ulikaa bweni gani? Kama haitoshi centre yenu ya OUT Mbeya ilikuwa wapi na mlikuwa mnasoma na wakina nani?

Sio wajibu wa Mulugo wala huyo Rostam Aziz uliyemtaja hapo kuthibitisha kwamba walisoma hizo shule. Ni jukumu lako wewe unaesema kwamba hawakusoma kuthibitisha kwamba hawakusoma.
 
Nakumbuka JK alitumia muda mwingi sana hadi kuja kutangaza baraza la mawaziri. Yaani kumbe kufikiria kote huko ndio akaibuka na hawa akina Mulugo?
 
jambo ambalo sielwi hapa ni kwamba, mbona yuko kimya sana na simuoni waziri mkuu akitoa tamko juu ya huyu waziri? manake nafikiri kwa aibu aliyoitoa kwa taifa anapaswa kabisa kuambwa na bosi wake kwamba umetuaibisha na kwa kitendo hki pumzika kwanza

lakin pia hawa si huwa wanandikiwa hizi speech? manake si ndo kazi ya afisa habari wa wizara? ama nakosea? manake kama aliandikiwa hotuba basi alomwandikia alimpeleka chaka purposely na inaelekea hakufanya proof reading before presentation. ama la hana presentation skills zilizompelekea kukosa kujiamini na hata kuchanganyikiwa katika kusoma.

but to be genuine ninge resign manake siwez kusimamia idara ambayo hata tu mfumo wa ke siujui. NACTE inatoa phd na masters???????

watu wanaandamana na kuuana lakini waziri mkuu hatoi tamko lolote ndio aje atoe tamko la huyo waziri wake ambae inaelekea hata shule ya msingi hakupita vizuri mana kuhusu muungano wa hii nchi tunafundishwa primary school.

Cha pili ni kweli speech unaweza ukaandika mwenyewe au ukaandikiwa lakini kabla ya kupresent inabidi uipitie ili kama ina makosa yanarekebishwa bt hata kama ingekua ni wewe umepewa speech usome ungefika mahali pa kusema tanzania ni muungano wa visiwa vya unguja na zimbabwe hata kama ni wewe ungepose kidogo ungebadilisha sentensi ungeendelea inaonyesha huyu jamaa alikua anaisoma hiyo speech na alikua hata hajisikilizi anavyoongea yaani alikua anaisoma kama vile essay darasani it can only happen in TANZANIA
 
watu wanaandamana na kuuana lakini waziri mkuu hatoi tamko lolote ndio aje atoe tamko la huyo waziri wake ambae inaelekea hata shule ya msingi hakupita vizuri mana kuhusu muungano wa hii nchi tunafundishwa primary school.

Cha pili ni kweli speech unaweza ukaandika mwenyewe au ukaandikiwa lakini kabla ya kupresent inabidi uipitie ili kama ina makosa yanarekebishwa bt hata kama ingekua ni wewe umepewa speech usome ungefika mahali pa kusema tanzania ni muungano wa visiwa vya unguja na zimbabwe hata kama ni wewe ungepose kidogo ungebadilisha sentensi ungeendelea inaonyesha huyu jamaa alikua anaisoma hiyo speech na alikua hata hajisikilizi anavyoongea yaani alikua anaisoma kama vile essay darasani it can only happen in TANZANIA

now you can underline kwamba wizara inaongozwa na mbumbumbu lazima ipafomu ivyo ivyo. sasa utashangaa kama mhitimu wa darasa la saba hajui kusoma na kuandika kwa staili hii????????????
 
Jaman hata kama Mulugo hana elimu lakini jamaa anapiga kazi. Suala la elimu sio muhimu sana endapo kazi zinafanyika. Tusiwe watu wa ku-criticize kila kitu. Ukiishi na mentality ya kukosoa kosoa tu una-block kufikiri kwako. Mbona Chadema tuliweka mgombea mwenza darasa la saba? Waberoya aliweka uzi hapa jf kuwa Slaa(PhD) alishinda ila 'vyombo' ya dola havikutaka, suppose Slaa angekubaliwa na hivyo vyombo inamaana tungekuwa na VP darasa la saba! Tumtendee haki naibu waziri jamani anafanya kazi jamaa.
 
Jamaa, a.k.a ONE NINETEEN SIXTY FOUR (1964), A.K.A Tanzania=Tanganyika+Pemba+Zimbabwe hana kosa kwa yoyote yanayo tokea!! Aulizwe aliye mteua!! HATA kilaza mwingine akiteuliwa kuwa Minister, atakubali na kumshukuru mungu!! Ila Mbayaaa eeeh!
IPILIMO umenikumbusha shule yangu ya msingi miaka hiyo ya 19 kweusi IRINGA ilikuwa inaitwa Ipilimo.
 
Jaman hata kama Mulugo hana elimu lakini jamaa anapiga kazi. Suala la elimu sio muhimu sana endapo kazi zinafanyika. Tusiwe watu wa ku-criticize kila kitu. Ukiishi na mentality ya kukosoa kosoa tu una-block kufikiri kwako. Mbona Chadema tuliweka mgombea mwenza darasa la saba? Waberoya aliweka uzi hapa jf kuwa Slaa(PhD) alishinda ila 'vyombo' ya dola havikutaka, suppose Slaa angekubaliwa na hivyo vyombo inamaana tungekuwa na VP darasa la saba! Tumtendee haki naibu waziri jamani anafanya kazi jamaa.

Kuna nafasi zinahitaji elimu kaka, nafasi ya Uwaziri huwezi kuweka mtu asiyekuwa na elimu walau degree, huo ndio ukweli na huwezi kupingana na ukweli huo. Dunia inahitaji watu wenye uwezo wa kuchambua mambo. Huwezi kukaa na kukubali Waziri wa Wizara kuchafua historia ya nchi kiasi hicho, haiwezekani tafadhali. Ni ufisadi wa historia ya taifa letu. He has to go, sioni kwa nini bado yupo madarakani, is shame!! Huyo ndio waziri mwenye dhamana ya kuboresha elimu, come on, guys lets be serious a bit!!!
Lakini pia hao wananchi waliomchagua mtu wa hivyo kuwa wabunge nao wanapashwa kulaumiwa
 
Nilifanya kazi kwenye shule aliyokuwa headmaster, mwaka 1999, baada tu ya mimi kumaliza A level na kupasua. Enzi zile baadhi ya shule za private zilikuwa zinatoa ajira ya muda mfupi kwa vijana waliohitimu kidato cha sita. Kipichi hicho niliwasikia walimu wenye diploma wakilalamika kuongozwa na Mulugo akali hana sifa. Walidai ana elimu ya kidato cha nne. Ila inawezekana alikuja kujiendeleza zaidi.
 
nchi yetu hata kama hujui kusoma na kuandika unaweza kuwa waziri katibu mkuu wala msishangae sana ukipitia cv halisi za mawaziri utaona mulugo ana nafuu, ni miongoni mwa mawaziri best! tehe!!
 
Kuna mambo mengi yanayotakiwa kufumuliwa hapa ndugu zangu,niliandka humu kwenye thread ya cv ya huyu jamaa kuwa alipata zero form six sio form four na ni aliyesema ni mtu waliyesoma naye.Yule jamaa (aliyesoma naye) alisema aliposikia kwamba mulugo kaula akaenda ofsini kwake kwa lengo zuri tu kama ujuavyo mambo ya kutengeneza network na huyo jamaa yupo kwenye sector ya elimu.Unaambiwa Mulugo alipomwona yule jamaa akawa alikosa confo nakuanza kujifaragua mara niko bize,mara uje siku nyingine nitakujulisha etc.Aliyeeleza haya ni rafiki yake mshikaji aliyesoma na mulugo.KAMA NILIVYOTANGULIA KUSEMA HAPO JUU,LET US RESEARCH TUFIKIA MUAFAKA,nashauri wadau wa jf the home of gt tufanye mapinduzi wa kung'oa vihiyo vinginevyo tutakuwa walalamikaji na si watu wa kufikiri namna ya kupata majibu.TUUNDE TUME,kulifanyia kazi suala hili.Kumbeni suala la mulugo kuabisha nchi limeanzia humu so ni wajibu wetu kurekebisha mambo ya nchi yetu,tusitegemee hawa viongozi dhaifu
 
hili nalo limezidi watufanyie nini zaidi ndo tuje tuwatende? Kila sehemu wanafanya ujinga wao ooohh nchi yangu Tanzania!
 
Jamaa ni kilaza kabisa, hata kusoma kiingereza hawezi zaidi ya ladies and gentlemen. Hayo maneno kayatamka zaidi ya mara 10 ktk presentation yake. His pasture was shaken, voice very soft, hardly to hear and never looked at audience. Jamani wale wazungu watatufikiriaje?
 
.KAMA NILIVYOTANGULIA KUSEMA HAPO JUU,LET US RESEARCH TUFIKIA MUAFAKA,nashauri wadau wa jf the home of gt tufanye mapinduzi wa kung'oa vihiyo vinginevyo tutakuwa walalamikaji na si watu wa kufikiri namna ya kupata majibu.....[/QUOTE]

Kwenye bold, changamoto hizi!! Nadhani kwa majina yetu bandia tunaweza kuwa very effective lakini tatizo likawa namna ya ku-compile report na vitu vingine kwa ajili hatua zaidi. We need some private rooms within JF network to carry out some hot discussions bila members wengi kujua.
 
Status
Not open for further replies.
Back
Top Bottom