MILKYWAY GALAXY
JF-Expert Member
- Dec 12, 2008
- 204
- 87
UVCCM wanayo haki ya kutoa malalamiko yao, hoja zao, vilio vyao,
Pia wanayo haki ya kusikilizwa,
Ila vile vile wajue watanzania wenye akili zao timamu wanayo haki ya kuwapuuza!
Walikuwa wapi siku zooote hizi?
Tunayo haki ya kuwapuuza!
Pia wanayo haki ya kusikilizwa,
Ila vile vile wajue watanzania wenye akili zao timamu wanayo haki ya kuwapuuza!
Walikuwa wapi siku zooote hizi?
Tunayo haki ya kuwapuuza!