aje?????kashapigwa kipapai huyo...:lol:
well said...Mtoto wako na wewe mwenyewe mnaonekana akili zenu haziko sawa
Wewe na huyo mtoto wote_wa kusoma,...mkimaliza masomo mtaacha.Naombeni kama kuna mwenye contact za huyu jamaa anipatie kuna jambo nataka nimtume kule Bungeni. Au ngoj niliweke hapa. Kuna mtoto wangu aliitwa kufanya Interview ya TANESCO iringa June mwaka huu.Baada ya ile Interview alitumiwa barua akaambiwa kazi amepata ila asubiri ataitwa, sasa kuanzia mwaka jana huyu kijana hataki kutafuta kazi nyingine anashinda nyumbani akisubiri Tanesco wamwite akafanye kazi Iringa. Nataka Rev. Msigwa aniulizie hili jambo kwa Ngeleja.
Mkuu kweli we hamnazo huyo Msigwa akishamwambia Ngeleja itasaidia nini?Nenda kwa afisa mwajiri wa Tanesco Iringa kamuulize hayo maswali uone majibu yake kwanza dogo wako anaonekana kilaza tu........... na ni changa la macho alikupiga hakuna cha kazi hapoNaombeni kama kuna mwenye contact za huyu jamaa anipatie kuna jambo nataka nimtume kule Bungeni. Au ngoj niliweke hapa. Kuna mtoto wangu aliitwa kufanya Interview ya TANESCO iringa June mwaka huu.Baada ya ile Interview alitumiwa barua akaambiwa kazi amepata ila asubiri ataitwa, sasa kuanzia mwaka jana huyu kijana hataki kutafuta kazi nyingine anashinda nyumbani akisubiri Tanesco wamwite akafanye kazi Iringa. Nataka Rev. Msigwa aniulizie hili jambo kwa Ngeleja.
Naombeni kama kuna mwenye contact za huyu jamaa anipatie kuna jambo nataka nimtume kule Bungeni. Au ngoj niliweke hapa. Kuna mtoto wangu aliitwa kufanya Interview ya TANESCO iringa June mwaka huu.Baada ya ile Interview alitumiwa barua akaambiwa kazi amepata ila asubiri ataitwa, sasa kuanzia mwaka jana huyu kijana hataki kutafuta kazi nyingine anashinda nyumbani akisubiri Tanesco wamwite akafanye kazi Iringa. Nataka Rev. Msigwa aniulizie hili jambo kwa Ngeleja.