RPC aliyemkamata mwimbaji wa "wanatuona nyani tu" apewe "maua" yake

Kiranja wa jamii

JF-Expert Member
Jan 2, 2023
222
529
Nelson Mandela alifungwa gerezani kwa miaka mingi kutetea haki za Waafrika wa Afrika ya Kusini na waliomtesa gerezani wakawa wamemuongezea ujasiri na kuipa nguvu jamii ya Afrika kusini kujitetea na mateso ya Mandela yakaleta baraka Afrika Kusini

Mwimbaji wa wimbo wa "wanatuona nyani" aliyekamatwa na kuwekwa ndani na RPC wa Mbeya huenda akawa chachu ya viongozi wa sanaa na utamaduni kuanza kufuatilia tungo za wasanii wa kizazi kipya ambazo zimejaa matusi na kuhamasisha ngono tu ambazo watoto wadogo walioko shule ndio wanazipenda na viongozi wanawapa majukwaa makubwa na kuwashangilia bila kujua namna wasanii hao wanavyoharibu utamaduni na maadili ya watanzania

ukifuatilia comments nyingi za wachangiaji mitandaoni kuhusu sakata hilo, wengi wanaikosoa serikali kuacha nyimbo za matusi zitambe na kuzipa majukwaa huku nyimbo zinazowakemea viongozi na kutetea jamii zinafungiwa na waimbaji kukamatwa

Kama jamii hatuna budi kukemea jambo hili kwa kuweka wazi mashairi ya wasanii wa kizazi kipya yanayoharibu maadili ya vijana wetu na kuhamasisha ngono kiasi cha kuifanya kuonekana kitu cha kawaida sana hata kwa watoto wadogo kitu ambacho zamani hakikuwepo

RPC aliyeamuru akamatwe ametusaidia kujua tabia ya viongozi wetu hivyo hatuna budi kumtetea mtuhumiwa aachili huru kwa kuonyesha mashairi ya wasanii wanaokumbatiwa na serikali kwa kuhamasisha ngono kwenye jamii hasa watoto ambao wanakua wakiwa wanaona ngono ni jambo la kawaida sana

Unaweza kuongeza mengine ili kuionyesha serikali inavyoshabikia uvunjifu wa maadili
Screenshot_20230918_201906_Instagram.jpg
 
Muda si mrefu mtalizika hilo limbwa lenu Kaa kwa kutulia
 
Mwimbaji wa wimbo wa "wanatuona nyani" aliyekamatwa na kuwekwa ndani na RPC wa Mbeya huenda akawa chachu ya viongozi wa sanaa na utamaduni kuanza kufuatilia tungo za wasanii wa kizazi kipya ambazo zimejaa matusi na kuhamasisha ngono tu ambazo watoto wadogo walioko shule ndio wanazipenda na viongozi wanawapa majukwaa makubwa na kuwashangilia bila kujua namna wasanii hao wanavyoharibu utamaduni na maadili ya watanzania
Hili la wasanii kuimba nyimbo za Ngono na Matusi tu na kuonekana ndio vipenzi vya serikali na ccm linatia kinyaa sana.
 
Nelson Mandela alifungwa gerezani kwa miaka mingi kutetea haki za Waafrika wa Afrika ya Kusini na waliomtesa gerezani wakawa wamemuongezea ujasiri na kuipa nguvu jamii ya Afrika kusini kujitetea na mateso ya Mandela yakaleta baraka Afrika Kusini

Mwimbaji wa wimbo wa "wanatuona nyani" aliyekamatwa na kuwekwa ndani na RPC wa Mbeya huenda akawa chachu ya viongozi wa sanaa na utamaduni kuanza kufuatilia tungo za wasanii wa kizazi kipya ambazo zimejaa matusi na kuhamasisha ngono tu ambazo watoto wadogo walioko shule ndio wanazipenda na viongozi wanawapa majukwaa makubwa na kuwashangilia bila kujua namna wasanii hao wanavyoharibu utamaduni na maadili ya watanzania

ukifuatilia comments nyingi za wachangiaji mitandaoni kuhusu sakata hilo, wengi wanaikosoa serikali kuacha nyimbo za matusi zitambe na kuzipa majukwaa huku nyimbo zinazowakemea viongozi na kutetea jamii zinafungiwa na waimbaji kukamatwa

Kama jamii hatuna budi kukemea jambo hili kwa kuweka wazi mashairi ya wasanii wa kizazi kipya yanayoharibu maadili ya vijana wetu na kuhamasisha ngono kiasi cha kuifanya kuonekana kitu cha kawaida sana hata kwa watoto wadogo kitu ambacho zamani hakikuwepo

RPC aliyeamuru akamatwe ametusaidia kujua tabia ya viongozi wetu hivyo hatuna budi kumtetea mtuhumiwa aachili huru kwa kuonyesha mashairi ya wasanii wanaokumbatiwa na serikali kwa kuhamasisha ngono kwenye jamii hasa watoto ambao wanakua wakiwa wanaona ngono ni jambo la kawaida sana

Unaweza kuongeza mengine ili kuionyesha serikali inavyoshabikia uvunjifu wa maadiliView attachment 2753938
Mkuu ! Kiranja wa jamii

Hakuna Jambo gumu Duniani kama kuwatetea watanzania!
Hawajitambuwi hata kidogo.....
Wanachoweza ni ku-bet!
Kucheza Fiesta!
Kuchambua Mpira wa Miguu!
Kuchangia na
Kusherehekea harusi na birthdays!
Kunywa Kahawa !
Kunywa Pombe!
Unafiki kwa wingi kama jadi.

Tutafika tumechoka sana.
 
Kama jamii hatuna budi kukemea jambo hili kwa kuweka wazi mashairi ya wasanii wa kizazi kipya yanayoharibu maadili ya vijana wetu na kuhamasisha ngono kiasi cha kuifanya kuonekana kitu cha kawaida sana hata kwa watoto wadogo kitu ambacho zamani hakikuwepo
HAAAAANI
HAAANI
HAAAAANI
HAAAANI
HAAAANI

BOLO BOLO BOLO
KUCH NEHI BOLO
BOLO GINA BOLO
BOLO HILO HILO
NI BOLO HILO BOLO
BOLO BOLO BOLO

HAAAANI
HAANI
HAAAANI
HAAANI

AKICHEZEA BUNO
NINAMPATIA UNO
ACHIZEKEA KIUNO
NINAMPATIA MIGUNO
MIGUNO MIGUNO
NI BUNO NI BUNO

HAAANI
HAANI
HAAAANI
HAAANI

Matusi MFULULIZO
 
Back
Top Bottom