Hornet
JF-Expert Member
- Apr 29, 2013
- 26,844
- 52,251
Mimi sina maneno mengi ya kuandika ilaa nina huzuni kubwa juu ya taarifa ya msiba juu ya mpendwa wetu Valentina 😭😭
Wengi wetu tunamjua kwa kuunganisha watu na kujenga upendo katikati ya chuki na hasira, lakini leo Mungu amempenda zaidi.
Nitatoa updates kadri nitakavyojaliwa.
Update:
Mazishi ni siku ya Jumatatu, tarehe 27.
Ibada ya mazishi itafanyika nyumbani pale alipokuwa akiishi mpendwa wetu Valee, (Maghorofani) na baadaye tutaelekea Makaburi ya Njiro - Arusha kwa ajili ya kumpumzisha kwenye nyumba yake ya Milele.
Mwanga wa milele ukuangazie kipenzi chetu Valentina Upumzike Salama.
Forever in our Hearts 🕊️💔
Wengi wetu tunamjua kwa kuunganisha watu na kujenga upendo katikati ya chuki na hasira, lakini leo Mungu amempenda zaidi.
Nitatoa updates kadri nitakavyojaliwa.
Update:
Mazishi ni siku ya Jumatatu, tarehe 27.
Ibada ya mazishi itafanyika nyumbani pale alipokuwa akiishi mpendwa wetu Valee, (Maghorofani) na baadaye tutaelekea Makaburi ya Njiro - Arusha kwa ajili ya kumpumzisha kwenye nyumba yake ya Milele.
Mwanga wa milele ukuangazie kipenzi chetu Valentina Upumzike Salama.
Forever in our Hearts 🕊️💔