Rest In Peace, Dad

Rest In Peace, Dad

Kwani kasema amefiwa? Hivi ukifiwa unaweza post humu JF? Yani uchungu na maumivu yoote ya kufiwa mtu bado anawaza kupost JF? Na mbona simuoni akijibu hata pole moja?! Nina mashaka na hili.
 
POLE SANA KWA KUFIWA NA BABA,MAY HIS SOUL REST IN ETERNAL PEACE,ingawa nimeshangaa courage ya kuandika umeitoa wapi,huyo lazima ni baba yako wa kambo wallah!
Kwani kasema amefiwa? Hivi ukifiwa unaweza post humu JF? Yani uchungu na maumivu yoote ya kufiwa mtu bado anawaza kupost JF? Na mbona simuoni akijibu hata pole moja?! Nina mashaka na hili.
Bado mna zile mila mtu ukifiwa hata kuoga huogi kuulizwa nina majonzi!?
Ameshare na familia yake ya JF nini shida? hajibu sababu hayupo online.
 
Bado mna zile mila mtu ukifiwa hata kuoga huogi kuulizwa nina majonzi!?
Ameshare na familia yake ya JF nini shida? hajibu sababu hayupo online.
Uhuru wa mawazo, yale yalikuwa yangu nawe umetoa yako. wote tuko sawa.
 
Pole Mamy ni mipango yake mola
Apumzike Kwa aman dady
 
Pole Dorin, tunakuombea upate wepesi kwa unayopitia, Mungu azidi kukujalia nguvu na afya
 
R.I.P Dad and sorry for your loss, Dorin. may God be your comforter and help
 
POLE SANA KWA KUFIWA NA BABA,MAY HIS SOUL REST IN ETERNAL PEACE,ingawa nimeshangaa courage ya kuandika umeitoa wapi,huyo lazima ni baba yako wa kambo wallah!
Kama ni hivyo hata wasingepika, wasingekula ni mwendo wa kulia kwa uchungu kwa kuondokewa na mpendwa wao.
 
Kama ni hivyo hata wasingepika, wasingekula ni mwendo wa kulia kwa uchungu kwa kuondokewa na mpendwa wao.
Ukifiwa shughuli za msibani kwenu huwa mnafanya wenyewe na si majirani na marafiki?
jinga kabisa,siju umeandika utumbo gani hapa,unaonekana hata haujui maana ya kufiwa..
 
It's like being in hell today I can't imagine my life without you dad
Pole sana!
Ila tunapaswa tujitafakari njia zetu tuliobaki, maana kila aliyezaliwa na mwanamke ataonja mauti.
 
POLENI WOTE MNAOHUSIKA NA MSIBA HUU. MWENYEZI MUNGU AWAPE NGUVU YA KUSTAHAMILI MSIBA. Amiin
 
Back
Top Bottom