response to ushauri about the closed thread

Blaine

JF-Expert Member
Joined
Jan 11, 2012
Posts
2,259
Reaction score
1,657
mtu anapokiuja kuomba ushauri hapa jf anategemea kupata opinions za watu tofauti sio just mmoja. idea yako ya kupatwa na "jambo gumu" mpaka unashindwa kuliandika hapa ni hadithi. zimekuwepo mada za kuomba ushauri kuhusu kuibiwa mke/mume, kunyanyaswa, bullying, same sex attraction etc na watu walifunguka na kupewa advice. prominent members like gfsonwin, Kongosho, The Boss, Kaunga nk wameandika nyuzi nzito za majaribu waliyokutana nao na kusaidiwa. sasa ni "jambo gumu" lipi hilo ambalo haliongeleki hapa JF hadi uandike uzi wa ku-volunteer kutoa ushauri by PM. ni wazo decent lakini hakuna mantiki, ni rahisi kwa yoyote kuweka ID mpya na kuomba advice kwa "jambo gumu" na kupokea opinion nyingi kuliko just kum-PM a random person asiyejulikana.

sorry kama nimekukwaza bwana/bibi USHAURI
 
Last edited by a moderator:
Sasa wewe unataka kuendeleza timbwili. Anywho, you are entitled to your opinion.
 
Mhhhhhhhhhhhh! :tape2::shut-mouth:
 
Mkuu kuna nini kinaendelea, siku za karibuni kidogi nimekuwa mtoro wa MMU.
 
On second thoughts mimi namuunga mkono USHAURI! Watu humu hawasahau jambo! Ukimuomba mtu ushauri au ukisema jambo juu yako linatumika as a weapon against you!

Nakumbuka Ciello aliwahi kukiri MMU kuwa she had a 1 night stand with a guy, ila watu wakageuza ndo weapon against her kila thread na chochote atakachosema of which ni character asassination!

Bora tuombe ushauri kwa PM! Binafsi as inappropriate as it may seem naombwa sanaa ushauri PM, na nawashauri sanaa watu! So kama ushauri anaona he can do it why not?

The question is is USHAURI eligible n qualified kwa hio kazi? Labda atuelezee why should we confide in him?
 
Last edited by a moderator:
i was responding to USHAURI bcoz ule uzi ulifungwa kabla sijamjibu.

kama watu wataanzisha vita hapa ntamuita mod aifunge

Hahahaaaaaaaa! Waanzisha vita wapo likizo! Lete vitu hivo ma GT tuvidiscuss!
 
HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAA! I hope its not what i am thinking ooooooooh! Chinekeeeeeee! Bana acha kutoka kwenye mada! Rudi kwenye mada tafadhali!

Bring it..whaaat..we right here....we ain't goin nooowhere...we right here.

Huchoki kucheka weye?
 
Bring it..whaaat..we right here....we ain't goin nooowhere...we right here.

Huchoki kucheka weye?

Sichoki kucheka aisee! Sema sio vyote vya furaha! Vingine ni sarcastic, vingine cynical, vingine sympathetic na vingine ni offensive tu! So ukiona nimecheka kuna mengi nyuma ya pazia!
 
Sichoki kucheka aisee! Sema sio vyote vya furaha! Vingine ni sarcastic, vingine cynical, vingine sympathetic na vingine ni offensive tu! So ukiona nimecheka kuna mengi nyuma ya pazia!

Umesahau na vile vya kujilazimisha....I mean..vile vya kinafki nafki hivi.
 
Hivo ndo offensive sasa vya kumkera tu mtu!:smile-big:

Na kero zaweza kuwa hisia zako tu maana humwoni, humjui, hujui yuko wapi na anafanya nini. Kwa sie wenye akili huacha all possibilities open. Maana we waweza kudhani unamkera kumbe mwenzio ndo kwanza yuko kwenye element...anakusanifu tu.

Mitandaoni hatukerani....majuha tu ndo hudhani hukera.
 

HAHAHAAAAAAAAAAAAAAAA! (This 1 is genuine)

Mimi nikashecheka wewe tu na roho yako! Ukereke! Usikereke! WHATEVER!!!!!!!!!!!! Hainiumizi kichwa kabisaaaa! Nisanifiwe! Nisisanifiwe lazima cha jioni nitakula na nitapata usingizi!

U have a point kuhusu watu wa mtandaoni, kwangu mi nawaona ni insignificant! Hawaniongezi kitu wala kunipunguzia chochote! So sijipagi shida kujua wanawaza nini juu yangu!

Coz it wont affect me anyhow!:rockon:
 
i was responding to USHAURI bcoz ule uzi ulifungwa kabla sijamjibu.

kama watu wataanzisha vita hapa ntamuita mod aifunge


hata nyuzi za PAPA BENEDICT XI zote zimepotezwa!!!!!!! je maana yake nini?????????
 

Blow the whistle oh:second:.

And on that note I can say checkmate.
 
Blaine naona point yako lkn naiona pia ya USHAURI. Kwa maoni yangu inachosha kufungua ID mpya kila upatapo shida ili kuficha ID mama yako; na kama kuna njia ambayo naweza pewa ushauri au hata counseling bila kujulikana na wengi l would go for it. Sio kila mtu anakifua cha kubeba madongo au mapondo yanayotokea pindi uanzishapo thread ya kuomba ushauri au hata uchakachuzi kama uliofanywa kwenye thread ya USHAURI. So for those who will be comfortable let them try n see if it is worthy.

Mwenyewe nina issues ambazo l real need someone anipe ushauri lkn sio jamvini; so l will give a try; hasa kucheck how good Mr/Ms Ushauri is.
 
Last edited by a moderator:
Blaine unamawazo mazuri sana ila tu unasahau kwamba si MARA ZOTE MTU atapenda kushauriwa jukwaa zima. hii hutokana na jinsi ambavyo jambo lenyewe ni sensitive na implication yake kwa watakao mshauri.

ngoja nikue mfano mmoja nilipatwa na mwendelezo wa part 3 kwenye uzi wangu ule wa ""mitego ya dunia hii siiwezi"" huwez kuamini kwa jisi ambavyo ilikuwa serious na kwa jinsi ambavyo jambo lenyewe lilivyokuwa na sura tofauti i had to go chemba kwa watu ambao i trust them nikafunguka kwao. nashukuru sana walikuwa sehem yangu na kunishauri and the thing is over.

based on that urgument i buy mama/ baba, USHAURI's idea na kiukwel if yuko competent najua atasaida wengi sana tu.
 
Last edited by a moderator:
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…