meningitis
JF-Expert Member
- Nov 17, 2010
- 8,464
- 4,828
Kuna jamaa yangu mwanaccm amenitonya kuwa kuwa Zitto Kabwe anaweza kuteuliwa kuwa waziri ikiwa ni fadhila ya kuhujumu chadema,
Iwapo chadema haitamvua uanachama jambo hili litakuwa rahisi.
Iwapo chadema itamvua uanachama basi kuna mambo mawili,moja ni kumteua kuwa mbunge halafu waziri na pili ni kumfanya mbunge wa mahakama.
Hili swala litategemea sana na timing ya chadema kutoa maamuzi dhidi ya usaliti wa Zitto
Tusubiri tuone!
Mods msifute kama mlivyofanya kwenye jukwaa la siasa.acheni wadau wafikirishe akili!
Iwapo chadema haitamvua uanachama jambo hili litakuwa rahisi.
Iwapo chadema itamvua uanachama basi kuna mambo mawili,moja ni kumteua kuwa mbunge halafu waziri na pili ni kumfanya mbunge wa mahakama.
Hili swala litategemea sana na timing ya chadema kutoa maamuzi dhidi ya usaliti wa Zitto
Tusubiri tuone!
Mods msifute kama mlivyofanya kwenye jukwaa la siasa.acheni wadau wafikirishe akili!