Repoti yako ya mwaka 2010 imetoka!!!

Tabutupu

JF-Expert Member
Nov 26, 2010
13,108
18,325
Ni kama ifuatavyo:-

Kuoga D+,

wivu B+,

uvumilivu E,

uchokozi C+,

kuzurura A,

kulala uchi A,

kuchukua bibi za watu A,

siasa A,

kupewa maji A,

kutumia kondom E,

kwenda kanisa E,

kutongoza watoto B,

uhuni A,

 
Kuoga D+, NIna A+ naoga mara 2-3 kwa siku zamu yangu ya kuoga maji ya ndoo iliisha.

wivu B+, Kma ni wamaendeleao A+ kama ni kumwonea jirani F-

uvumilivu E, Nina F- Kizibo cha uvumilivu kimezibuka. Ama zao CCM ama zangu

uchokozi C+,-Nina F Nikiwa na Hasira napiga mzigo tu

kuzurura A,- Nina F- Sina muda wa kupoteza

kulala uchi A,- A+ Birth Day Suit Pajama ndo zangu Sleeping in Nude"

kuchukua bibi za watu A,-Mimi nina F Tangua niache kabla sijaoa sijatongoza.

siasa A,- Hi kuna Alama iliyo juu ya A+? may be AAA+?

kupewa maji A,

kutumia kondom E,- F Zaidi ya mke wangu sina mpango na mwanamke yeyote

kwenda kanisa E,- Hapa nina B+

kutongoza watoto B,- Mimi nina F kwa sababu sitongozi na wala sitatongoza

uhuni A,- F Tangu nioe miaka 18 iliyopita nyama naunua bucha hiyo hiyo.
 
mpk ku2mia condom ana sap!! mwaka huu itambid asapue
 
Ni kama ifuatavyo:-

Kuoga D+,

wivu B+,

uvumilivu E,

uchokozi C+,

kuzurura A,

kulala uchi A,

kuchukua bibi za watu A,

siasa A,

kupewa maji A,

kutumia kondom E,

kwenda kanisa E,

kutongoza watoto B,

uhuni A,


mmh, hiyo siyo yangu na wala haifanani nayo kabisa. mi yangu iko kama ifuatavyo:

Kuoga zaidi ya mara moja kila siku (alama nisaidie),

wivu F,

uvumilivu A+,

uchokozi (kwa lengo la kuchochea mazoea na kuchangamshana) B,

kuzurura F,

kulala uchi F,

kuchukua bibi za watu NA,

siasa B+,

kupewa maji NA,

kutumia kondom NA,

kwenda kanisa A+,

kutongoza watoto NA,

uhuni NA,

 
mmh, hiyo siyo yangu na wala haifanani nayo kabisa. mi yangu iko kama ifuatavyo:

Kuoga zaidi ya mara moja kila siku (alama nisaidie),

wivu F,

uvumilivu A+,

uchokozi (kwa lengo la kuchochea mazoea na kuchangamshana) B,

kuzurura F,

kulala uchi F,

kuchukua bibi za watu NA,

siasa B+,

kupewa maji NA,

kutumia kondom NA,

kwenda kanisa A+,

kutongoza watoto NA,

uhuni NA,


miss j huwa una lala na jinzi?
 
mmh, hiyo siyo yangu na wala haifanani nayo kabisa. mi yangu iko kama ifuatavyo:

Kuoga zaidi ya mara moja kila siku (alama nisaidie),

wivu F,

uvumilivu A+,

uchokozi (kwa lengo la kuchochea mazoea na kuchangamshana) B,

kuzurura F,

kulala uchi F,

kuchukua bibi za watu NA,

siasa B+,

kupewa maji NA,

kutumia kondom NA,

kwenda kanisa A+,

kutongoza watoto NA,

uhuni NA,


hapo uchokozi B. naomba unichokoze kidogo.
 
Sawa bwana lakini mi najaribu kufungua matokeo sipati nielekeze jinsi ya kuloa kwenye kimeo
 
dah! kwa ninavyomuelewa miss judith, szani kama atajibu hii lol

haha, swali lenyewe mbona simpo? nimeishajibu tayari

labda anaishi zile nchi zenye baridi kali au zenye uzoefu wa kutokea majanga usiku.

mi naishi bongo japo husafiri mara chache kwenye nchi zenye baridi kalihadi mabarafu, ila siyo zenye majanga, ingawa indonesia kulikotokea sunami nimewahi kutembelea mara moja

ni msirious mpaka simu yake haina games

hahah, kama vile ulikuwepo, simu yangu ina games ila huwa sichezi yaani muda unabana sana bro
 
miss j huwa una lala na jinzi?

hashycool, miss asidanganye, miss kuzura F,juzi nimekuona kwa k2u cha daladala mwenge! Uhuni F wakati orijino Certificate yako inaonesha A au umetumia jina la kununua?au la dada yako yule niliyemuona?
 
hashycool, miss asidanganye, miss kuzura F,juzi nimekuona kwa daladala! Uhuni F wakati orijino Certificate yako inaonesha A au umetumia jina la kununua?au la dada yako yule niliyemuona?

speechless!!
 
Back
Top Bottom