Ni kama ifuatavyo:-
Kuoga D+,
wivu B+,
uvumilivu E,
uchokozi C+,
kuzurura A,
kulala uchi A,
kuchukua bibi za watu A,
siasa A,
kupewa maji A,
kutumia kondom E,
kwenda kanisa E,
kutongoza watoto B,
uhuni A,
mmh, hiyo siyo yangu na wala haifanani nayo kabisa. mi yangu iko kama ifuatavyo:
Kuoga zaidi ya mara moja kila siku (alama nisaidie),
wivu F,
uvumilivu A+,
uchokozi (kwa lengo la kuchochea mazoea na kuchangamshana) B,
kuzurura F,
kulala uchi F,
kuchukua bibi za watu NA,
siasa B+,
kupewa maji NA,
kutumia kondom NA,
kwenda kanisa A+,
kutongoza watoto NA,
uhuni NA,
miss j huwa una lala na jinzi?
hahahahahh, umenichekesha kweli??. Swali dhuli
dah! kwa ninavyomuelewa miss judith, szani kama atajibu hii lolmiss j huwa una lala na jinzi?
miss j huwa una lala na jinzi?
mmh, hiyo siyo yangu na wala haifanani nayo kabisa. mi yangu iko kama ifuatavyo:
Kuoga zaidi ya mara moja kila siku (alama nisaidie),
wivu F,
uvumilivu A+,
uchokozi (kwa lengo la kuchochea mazoea na kuchangamshana) B,
kuzurura F,
kulala uchi F,
kuchukua bibi za watu NA,
siasa B+,
kupewa maji NA,
kutumia kondom NA,
kwenda kanisa A+,
kutongoza watoto NA,
uhuni NA,
dah! kwa ninavyomuelewa miss judith, szani kama atajibu hii lol
halaf ana mashairi mpaka keyboard yake imepangwa kwa vina na beti.ni msirious mpaka simu yake haina games
dah! kwa ninavyomuelewa miss judith, szani kama atajibu hii lol
labda anaishi zile nchi zenye baridi kali au zenye uzoefu wa kutokea majanga usiku.
ni msirious mpaka simu yake haina games
hapo uchokozi B. naomba unichokoze kidogo.
miss j huwa una lala na jinzi?
halaf ana mashairi mpaka keyboard yake imepangwa kwa vina na beti.
hashycool, miss asidanganye, miss kuzura F,juzi nimekuona kwa daladala! Uhuni F wakati orijino Certificate yako inaonesha A au umetumia jina la kununua?au la dada yako yule niliyemuona?