hashycool
JF-Expert Member
- Oct 2, 2010
- 6,555
- 2,829
speechless!!
better be mama
speechless!!
ni kama ifuatavyo:-
kuoga d+,
wivu b+,
uvumilivu e,
uchokozi c+,
kuzurura a,
kulala uchi a,
kuchukua bibi za watu a,
siasa a,
kupewa maji a,
kutumia kondom e,
kwenda kanisa e,
kutongoza watoto b,
uhuni a,
mmmmmmmmmmmhhhhhhhhhh:sick::sick:
kuoga........c
wivu...........f
uvumilivu......e
uchokozi........a
kuzurura.........c
kulala uchi.......b
siasa.........b
kutumia kondom.............not applicable
kwenda kanisani.............b
kutongoza..............not applicable
uhuni............f
tunaomba grade yako ya kulala bila nguo, hizo nyengine hazina umuhim sana unaweza ukaziignore tummmmmmmmmmmhhhhhhhhhh:sick::sick:
tunaomba grade yako ya kulala bila nguo, hizo nyengine hazina umuhim sana unaweza ukaziignore tu
wapi guardian angel wangu....miguno hiyo!
mmhh umeanza nichokoza ae..
A+++
kwahiyo wewe huwa una lala huku umejifunika na nyumba kabisa
mmhh umeanza nichokoza ae..
A+++
Hawa watungie shairi fupi hawataelewa anyway lol!huwa nachokoza sana, just keep in touch, hata hapa jamvini nimeishachokoza kadhaa. we muulize polisi wakati wa machafuko ya arusha nilimpiga kijembe bab kubwa
ndo maana yake
na kale ka nguo kamoja tu huko chini
mmmmhh wakatii wa winter
unazama kwenye electric blanket
hahah lol
dah! umentamanisha ujue. if laputop screens could talk...........they would say klorokwini is currently breathless
hapo wivu f nazani umechakachua, naomba usibishe tuna ushahidi kamili kabisa
kuna ile natural blanket yako moja inaitwa fainest hivi iko wapi?
Hawa watungie shairi fupi hawataelewa anyway lol!
Comedian wetu inabidi nikueleze ukweli hupati mtu kwa sababu unatangatanga sana kwa Hus mbona ulikaribia kutoka think kloro think hahaha!dah! umentamanisha ujue. if laputop screens could talk...........they would say klorokwini is currently breathless
hii yote
ni ajili ya easy accesses ajili yake dear..(TF)
mmmhh maana nimemdekeza...
si waja tena hahaha lol
Wecome back my Cheusimangala.Comedian wetu inabidi nikueleze ukweli hupati mtu kwa sababu unatangatanga sana kwa Hus mbona ulikaribia kutoka think kloro think hahaha!