Reposted: huyu ni baba

Reposted: huyu ni baba

Kama ni hapa kwetu huyo anatakiwa atafutwe na akamatwe,hicho anachokifanya ni sawa na kumnajisi mtoto
 
Kakosea sana kulipuka mbele ya mtoto.

Kuna mshikaji alikuwa anauza na kuchoma humo humo ndani. Alikuwa na mtoto mdogo wa mwaka na miezi kadhaa, ikatokea mke wake kaenda kwako, huwezi amini mtoto alikuwa mnyonge kama mgonjwa. Siku wamerudi Dar, baada ya baba yake kujilipua chumbani, unaambiwa mtoto alipona ghafla na kuchangamka kupita kiasi.
Na wewe ulikuwemo chumbani wakati mtoto anafurahia. Au ulihadithiwa na mtoto mwenyewe
 
Sweet as mother's milk....hahahaaa huyo jamaa amekosea sana ku-spliff akiwa na mtoto.

Herb is necessary man....kwa ambao hawajui ....most beautiful butterflies eat marijuana
 
tusishangae sana, huenda ni tamaduni kama yuko mataifa mengien kama Jamaica

culture is the totoal way of life..
 
Back
Top Bottom