ki ukweli mwana iko poa hatariii yaani ina ile beat ya kistaarabu unaenda taratibu sasa pale akisema waleteeee haaaaa ni sheeeeda
Hii nyimbo sasa imeshakuwa kero sasa ni kama nyimbo ya Taifa.
Huu wimbo sasa umeshakuwa kero sasa ni kama wimbo wa Taifa.
Kumbe mwana daresalama ndo Kiba!
Hako kawimbo sijawah kukasikia kakafika mwisho,sikapendiii kasauti kama ule wa dushelele
jamani ebu msikilizeni mtoto barnaba na wahlade balaa alilofanya humo!...na mnajua nini?dah
ni kweli ndugu. Kiba anapaishwa tu. Labda kwa kuwa produza wake ni mtu wa media
aliyekudanganya fasihi kazi yake ni moja tu kufundisha ni nani?Ujumbe wa ile nyimbo una kugusa nini?
huyu mbana pua aliyekuja na wimbo wanaouita mwanadarisalamaunamzungumzia kiba yupi
dah! Asante sana kumnyoosha. Ila kwa upande wa kiba bado sijaona. Siku zinavyozidi kwenda anazidi kubana pua.
kweli, eh. Basi apunguze kubana sauti. Awasikilize kina ben pol na rama deemkuu Wallet tatxo lako huelewi tu..
ali habani pua ila ile ndio saut yake original,kama unabisha jarbu na wewe kubana pua uone kama saut itatoka nzur vile..
kweli, eh. Basi apunguze kubana sauti. Awasikilize kina ben pol na rama dee
Uku habari ya mjin ya moto band
Kyondomu?
Kinachoendelea hapa ni kujaribu kumpandisha Kiba kinguvu na kumshusha Diamond kinguvu. USIKU MWEMA. "mdogo mdogo"
dah! Asante sana kumnyoosha. Ila kwa upande wa kiba bado sijaona. Siku zinavyozidi kwenda anazidi kubana pua.