Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
:flame::flame::flame:
Mkuu hapa ndo umemaanisha nini?
:flame::flame::flame:
Mkuu hayo masaburi ya kwa Cameroon au toka China?:flame::flame::flame:
Jomba, ni Report ya Jairo au ya kamati ya Bunge?
Jomba, ni Report ya Jairo au ya kamati ya Bunge?
Tume iliyoundwa kuchunguza ubadirifu wa fedha walizokula kina Jairo hawa kwanini hawakuhusishwa nao pia lazima sheria iwachukulie hatua tena kali sana ikiwezekana hata kufungwa!
sio kweli kama walisahaulika. Moja ya mapendekezo ya tume ni watumishi wote walioshiliki kuchangisha au kufanikisha matumizi yale haramu wachukuliwe hatua sitahiki