SAGAI GALGANO
JF-Expert Member
- Nov 13, 2009
- 49,973
- 75,054
Ataacha kila kitu kibaki kama kilivyo,ataendelea kukenua kenua kama kawa. Katiba inampa madaraka ambayo hawezi kushinikizwa kufanya maamuzi. After all hahitaji kura zenu tena.
Mkuu, tungekuwa na hali nzuri sana kama tungekuwa na kiongozi anaywewaza na asiye muoga kuchukua maamuzi magumu. I can put by one cent kuwa haya wala si mambo yanayousumbua ubongo wa JK, ye anaona mambo ya kawaida tu, hivyo wala haimuumizi kichwa kuwa eti kuna hatua mahsusi anayopaswa kuchukuasiwezi ku prove ila najua kuwa Ngeleja alijua kilichokuwa kinaendelea, na baada mambo kwenda mrama kwa mara ya kwanza na Jairo kusimamishwa najua pia J.K alijua kila kitu kilichotoke,...
j.k atakuwa anawaza nini kwa sasa kuhusu uamuzi wa kufanya,wote tunamjua J.K na naamini tunaweza kujua ( kwa kutumia uzoefu) kitu gani anachowaza J.K kuhusu hiyo kashwa na uamuzi gani atachukua,hebu tuweke hapa chini basi,
Mmejaa speculation zisizo na msingi. Mwacheni afanye maamuzi bila shinikizo lenu. Bunge limeshaamua, mnataka nini tena?
siwezi ku prove ila najua kuwa Ngeleja alijua kilichokuwa kinaendelea, na baada mambo kwenda mrama kwa mara ya kwanza na Jairo kusimamishwa najua pia J.K alijua kila kitu kilichotoke,...
j.k atakuwa anawaza nini kwa sasa kuhusu uamuzi wa kufanya,wote tunamjua J.K na naamini tunaweza kujua ( kwa kutumia uzoefu) kitu gani anachowaza J.K kuhusu hiyo kashwa na uamuzi gani atachukua,hebu tuweke hapa chini basi,
Mmejaa speculation zisizo na msingi. Mwacheni afanye maamuzi bila shinikizo lenu. Bunge limeshaamua, mnataka nini tena?
To be a leader, you must
stand for something,
or you will fall for anything.
Hakijui kisa cha Waziri Mkuu Lowasa? mnanchekesha!
akiwafukuza kazi watamuumbua ile kashfa ya IPTL itabidi akae kimya
Kama watanzania watashinda kesho Jumatatu bila kusikia kuwa Rais kawaachisha kazi Luhanjo na Jairo basi Kikwete atajiwekea record nyingine mbaya.
umesema ....