Hii hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-jairo-yawasilishwa-wabunge-wachachamaa.html (soma 1st post na angalia attachment)
Asante Robot. Nimeisoma yotee kurasa kwa kurasa.Hii hapa: https://www.jamiiforums.com/jukwaa-...a-jairo-yawasilishwa-wabunge-wachachamaa.html (soma 1st post na angalia attachment)
Dont waste your precious time to think that he will do anything to these cannibals!!he will just smile and then business as usual!!Kama watanzania watashinda kesho Jumatatu bila kusikia kuwa Rais kawaachisha kazi Luhanjo na Jairo basi Kikwete atajiwekea record nyingine mbaya.
Mmejaa speculation zisizo na msingi. Mwacheni afanye maamuzi bila shinikizo lenu. Bunge limeshaamua, mnataka nini tena?siwezi ku prove ila najua kuwa Ngeleja alijua kilichokuwa kinaendelea, na baada mambo kwenda mrama kwa mara ya kwanza na Jairo kusimamishwa najua pia J.K alijua kila kitu kilichotoke,...j.k atakuwa anawaza nini kwa sasa kuhusu uamuzi wa kufanya,wote tunamjua J.K na naamini tunaweza kujua ( kwa kutumia uzoefu) kitu gani anachowaza J.K kuhusu hiyo kashwa na uamuzi gani atachukua,hebu tuweke hapa chini basi,
Kuhusu Ngelea na Malima, JK haimuumizi sana maana hawa ni wanasiasa.. Kinachomuumiza kichwa is where to Dispose JAIRO maana umri wake bado unadai na ukumbuke kwamba ni maswahiba wa siku nyingi. Kuhusu Luhunjo ata by time mpaka December 9 atakapostaafu rasmi. Utouh nae kama tunavyojua alishapitiliza umri so anafanya kazi kwa mkataba pale ofisini kwake so anaweza akamwambi aandike barua ya kusitisha mkataba wake. So ishu hapa is where to Dispose JAIRO.