Game Theory
Platinum Member
- Sep 5, 2006
- 8,545
- 835
Mwaka ushapita sasa tunaomba wana ILALA na wana Dar na JFkwa ujumle mtuleteee report card ya huyu JERRY SILAA ambaye pia ni member wa JF humu so natumai atakuja kutupatia majibu ya maswali yetu hasa ukizingatia yeye ni meya wa wilaya tajiri kuliko zote Tanzania ambayo ni pamoja na Ikulu ambayo iko chini yake.
Je Meya huyu alitoa ahadi zipi kwa wana ILALA
Je ana elimu gani?
Komsomea nini
Kasoma wapi?
Je kashatekeleza ngapi?
Je yumo kwenye kamati zipi?
Je anato access kwa wapiga kura wake?
Je ana ofisi jimboni kwake?
Je anayo website?
Je anayo namba maalum ya kuwasiliana na wapiga kura wake?
Je anayo Facebook page?
Je anapatikana kwenye Twitter?
Je ana fanya surgery (kukutana na kuwasikiliza ) wapiga kura wake?
Je ame declare interests zipi kama mtumishi wa umma?
Je analipwa mshahara kiasi gani?
Je anachukua posho?
Kiasi gani anachukua kwa mwezi?
Je wana ILALA wanamaoni gani kuhusu performance yake?
Je potential competitors wake in 2015 ni akina nani?
Je ana maoni gani kuhusiana na blue print ya kuliendeleza jumbo la ILALA?
Je amopokea zawadi sosote toka kwa wafanyabiashara au watu binafsi?
Zawadi hizo ni zipi?
Je ame declare kama amepokea hizo zawadi?
Je private life yake ni reflection ya hao anawa wakilisha?
Je ILALA kuna issues 5 kubwa ambazo alitakiwa kuzishughulia je ni zipi?
Je ana shiriki kwenye shughuli za kijamii (yuko close na wapiga kura wake) auhaonekani mpaka kutokee issue yenye kumpa publicity?
Je kwa Mtazamo wa haraka haraka JERRY SILAA atarudishwa tena na wan ILALA in2015?
Je ni Cabinet material? If so wizara gani itamfaa?
Rough estimates za Budget ya JERRY kuwa Meya wa ILALA ni kiasigani?
Je Meya huyu alitoa ahadi zipi kwa wana ILALA
Je ana elimu gani?
Komsomea nini
Kasoma wapi?
Je kashatekeleza ngapi?
Je yumo kwenye kamati zipi?
Je anato access kwa wapiga kura wake?
Je ana ofisi jimboni kwake?
Je anayo website?
Je anayo namba maalum ya kuwasiliana na wapiga kura wake?
Je anayo Facebook page?
Je anapatikana kwenye Twitter?
Je ana fanya surgery (kukutana na kuwasikiliza ) wapiga kura wake?
Je ame declare interests zipi kama mtumishi wa umma?
Je analipwa mshahara kiasi gani?
Je anachukua posho?
Kiasi gani anachukua kwa mwezi?
Je wana ILALA wanamaoni gani kuhusu performance yake?
Je potential competitors wake in 2015 ni akina nani?
Je ana maoni gani kuhusiana na blue print ya kuliendeleza jumbo la ILALA?
Je amopokea zawadi sosote toka kwa wafanyabiashara au watu binafsi?
Zawadi hizo ni zipi?
Je ame declare kama amepokea hizo zawadi?
Je private life yake ni reflection ya hao anawa wakilisha?
Je ILALA kuna issues 5 kubwa ambazo alitakiwa kuzishughulia je ni zipi?
Je ana shiriki kwenye shughuli za kijamii (yuko close na wapiga kura wake) auhaonekani mpaka kutokee issue yenye kumpa publicity?
Je kwa Mtazamo wa haraka haraka JERRY SILAA atarudishwa tena na wan ILALA in2015?
Je ni Cabinet material? If so wizara gani itamfaa?
Rough estimates za Budget ya JERRY kuwa Meya wa ILALA ni kiasigani?