Report Card ya Meya wa Ilala: Jerry Silaa

Kwa matatizo ya wanafunzi wa Kampala ambao ni wapiga kura wangu hakuna waliloniwasilishia ambalo lipo ndani ya uwezo wa meya. Yote ni ua serikali na TCU . Lakini kama kiongozi nimewaeleza milango yangu ipo wazi wakiwa na tatizo lilote nitawasaidia ila wafate yaratibu, wakifanya fujo wakavunja vioo vya chuo hiyo si style yangu na vilevile ni illegal. Kama kuna tatizo lolote tafadhali nijulishe,


mkuu inasemekana kuhusu upokeaji wa zawadi upo juu na ndio maana wanafunzi wa KAMPALA UNIVERSITY MPAKA LEO MMEWAPOTEZEA WW NA SERIKALI YAKO JAPO WAMEOMBA SANA MSAADA WAKO KTK UFUMBUZI WA MATATIZO YAO NA CHUO ICHO CHA MAGUMASHI.....
LAkn mmekuwa kimya kwa kuwa kuna percent flani flani mnapata ili kuzibwa midomo....
Kama si kweli je huelewi kinachoendelea pale chuoni ....
 
I thought nilirespond hii.
Matatizo mengi ya KIU ni ya TCU, Loan Board na serikali. Najitahidi kuwa karibu na wanaKIU na lolote ambalo wanaamini naweza kulitatua au kufacilitate utatuzi milango yangu iko wazi.

mkuu inasemekana kuhusu upokeaji wa zawadi upo juu na ndio maana wanafunzi wa KAMPALA UNIVERSITY MPAKA LEO MMEWAPOTEZEA WW NA SERIKALI YAKO JAPO WAMEOMBA SANA MSAADA WAKO KTK UFUMBUZI WA MATATIZO YAO NA CHUO ICHO CHA MAGUMASHI.....
LAkn mmekuwa kimya kwa kuwa kuna percent flani flani mnapata ili kuzibwa midomo....
Kama si kweli je huelewi kinachoendelea pale chuoni ....
 
Chama, kwa kifupi nimesema focus kubwa ni revenue inhancement na kupunguza matumizi ya kawaida na kutumia fedha nyingi kwenye miradi ya maendeleo. Afya, pamoja na kupanua zahanati ya Pugu na Chanika kuwa vituo vya afya vilevile zahati ya mongolandege ipo kwenye soft opening baadae tuiupgrade kuwa kituo cha afya. Sasa mazungumzo yanafanyika na hospital ya misheni ya madafu iwe hospital teule. Elimu inachangamoto nyingi. Kwa sasa tunatafuta suluhu ya chanzo sustainable cha kugharamia elimu.
Mwenye tuhuma ni bora aziweke wazi na si haki na sisi ni binadamu kutuhumiwa bila tuhuma kueleza wazi na kuacha watu wanaamini. I believe im clean mwenye tuhuma aziseme.

Mstahiki Meya;

Rushwa, ukiritimba na ubadhirifu ni moja kati ya matatizo makubwa yanayozikabili manispaa na halmashauri nyingi Tanzania. Kwa ujumla Ilala inakabiliwa na matatizo makubwa kiutendaji, rushwa na ubadhirifu, je wewe ukiwa kama meya una mikakati gani ya kuifanya Ilala iwe kioo cha ufanisi? Pamoja na kuwa na ufanisi kwenye ukusanyaji wa mapato Ilala ni nini kinakwamisha shughuli za miradi ya maendeleo? Nimeona umeweka mkakati mkubwa kwenye ukusanyaji wa mapato kwenye nyanja za elimu na afya lakini hujaongelea kuboresha huduma za elimu na afya. Kuhusu uchimbaji wa visima hili ndio suluhisho pekee uliloona? Hii karne ya 21 ni lazima uende na wakati. Visima ni sulihisho la muda mfupi tu; kama meya lazima uwe na mipango ya muda mrefu kuondoa kero ya maji, la mwisho ni hizi tuhuma za ngono kama zipo zifanyie kazi; unahudumia jamii haileti picha nzuri kwa kiongozi, na inaweza kuchangia kuanguka kwako kisiasa.

Chama
Gongo la Mboto DSM
 
Sijawahi kuona Meya mbovu kama huyu, huku kwenye Kata yake kama maeneo ya Ukonga-Ulongoni A barabara ni mbovu hakuna mfano yeye siku hizi anaishi Upanga na keshaipa kisogo Kata aliyopatia kura. Ni mfano mbaya wa viongozi vijana ambao wamekuwa wanapigiwa chapuo kuchukua madaraka.
 
Chama, kwa kifupi nimesema focus kubwa ni revenue inhancement na kupunguza matumizi ya kawaida na kutumia fedha nyingi kwenye miradi ya maendeleo. Afya, pamoja na kupanua zahanati ya Pugu na Chanika kuwa vituo vya afya vilevile zahati ya mongolandege ipo kwenye soft opening baadae tuiupgrade kuwa kituo cha afya. Sasa mazungumzo yanafanyika na hospital ya misheni ya madafu iwe hospital teule. Elimu inachangamoto nyingi. Kwa sasa tunatafuta suluhu ya chanzo sustainable cha kugharamia elimu.
Mwenye tuhuma ni bora aziweke wazi na si haki na sisi ni binadamu kutuhumiwa bila tuhuma kueleza wazi na kuacha watu wanaamini. I believe im clean mwenye tuhuma aziseme.
Ni mikakati gani ktk miradi ya maendeleo uliyokuwa nayo kwa ujumla na ipi umeshafanikiwa kuifanya hadi sasa hivi?.
 
I thought nilirespond hii.
Matatizo mengi ya KIU ni ya TCU, Loan Board na serikali. Najitahidi kuwa karibu na wanaKIU na lolote ambalo wanaamini naweza kulitatua au kufacilitate utatuzi milango yangu iko wazi.

Jerry unazaidi ya matatizo, ukiacha hayo ya KIU ambayo ni ya kitaaluma na ambayo huyashughulikii moja kwa moja kama Diwani na Meya, bado kuna matatizo mengi kwenye Jimbo lako lako issue ni tatizo la Hospitali ya Ulongoni-Mongolandege ambayo imekamilika na haifanyi kazi, tatizo la barabara ambayo haipitiki wakati wote, Ulongoni hawataki lami wanataka hata barabara ya moram inayopitika muda wote, maji na umeme kwenye baadhi ya maeneo ambazo ni huduma za msingi KUWA MTEKELEZAJI WA AHADI ACHA BLABLA !
 
Muheshimiwa Meya wa Ilala
Suala la kujenga parking za kutosha city center lipeni umuhimu wa juu ili kupunguza msongamano na parking za hovyohovyo pia hakikisheni kila jengo linalojengwa mjini ni lazima liwe na parking za kutosha watumiaji wake na wateja wao wanaofika kupata huduma kwenye majengo hayo
 
Limepokelewa na litatekelezwa

Muheshimiwa Meya wa Ilala
Suala la kujenga parking za kutosha city center lipeni umuhimu wa juu ili kupunguza msongamano na parking za hovyohovyo pia hakikisheni kila jengo linalojengwa mjini ni lazima liwe na parking za kutosha watumiaji wake na wateja wao wanaofika kupata huduma kwenye majengo hayo
 
Hapa kuna issue tatu,
Moja ni sheria na taratibu, mfano mimi nikuambie utoke humu JF! Dispite na ulichofanya lakini sina legal authority ya kukufukuza. Dr Masaburi yawezekana alukuwa na hoja za msingi ila utaratibu alotumia sio. Na nisingependa mfanyabiashara yoyote anayefanya biashara na IMC afanye in harmony na si kutishiwa termination bila kuzingatia huo mkataba unaelekezaje kuhusu termination. Maamuzi ya kisiasa yakivunja mkataba matokeo yake mmeyaona Dowans.

Pili ni issue ya performance,
Pale ferry kuna changamoto zake ambazo lazma tuziaddress kabla hatujaweza kidhati kupima perfomance ya mfanya usafi. Soko lile kwa utaratibu wa sasa wa kutaka mkurugenzi alisimamie ni ngumu, tumeunda bylaw ya service boards ili kulisogezea attention.

Tatu issue ya interest haipo, yupo waziri mmoja aliniambia anaogopa kusukuma mambo eti ataambiwa ana interest. Ilala is a 91B sh council kama ingekuwa interest yapo maeneo makubwa mengi tu nisingefika kwa mfagizi wa feri. Kikubwa ni kuhakikisha mambo yanaendeshwa in harmony

Jamani Naomba nimsaidie kwa kusema wananchi wanapaswa kufahamu kuwa nafasi ya umeya ni celemonial posts na si executive posts ktk maana ya utendaji. kazi yake kubwa ni kuchair vikao na hatimae kuona halmashauri inakwenda kwa misingi ya maamuzi ya vikao hivyo. swala kama la kumfukuza mkandarasi ni la kisheria zaidi soma sheria yetu ya manunuzi ya mwaka 2004 na marekebisho yake ya hivi karibuni ambapo utaona pale inasisitiza juu ya uwepo wa tenda board ambayo inateuliwa na accounting officer ambaye ni mkurugenzi kama mtendaji. kimsingi huwezi ona anazungumzwa meya, na kwa msingi huo napenda kusema si rahisi kwa meya kumfukuza/kumwajibisha mkurugenzi ama mtendaji yeyote haswa ukizingatia sheria yetu ya utumishi wa umma ya mwaka 2002 na marekebisho yake ya mwaka 2008 kwa misingi kwamba umeya si chombo cha ktk ngazi ya kumwajibisha mtumishi wa umma, haswa ukizingatia level ya appointment kwa mkurugenzi wa jiji ni na manispaa ni Rais mwenyewe ukiacha halmashauri za wilaya ambako mteule wake kwa wakurugenzi ni prime minister kwa mujibu wa sheria no 7na 8 ya serikali za mitaa ya mwaka 1982 revised 2000. muundo wa serikali zetu za mitaa unapaswa kuangaliwa upya haswa ktk mchakato wa katiba mpya tunayotaka kuingalia kwa sasa, ili maombo yaweze kwenda sambamba na matarajio ya wananchi kwa viongozi wao kama madiwani/meya kuweza kuwapatia mamlaka angalau ya kufikia hatua ya kuteua na kuajiri ili waweze kwanamna moja kuwa independent, na kwa namana fulani kuzifanya his local authorities kuwa autonomous. (kumbuka kauli ya baba wa taifa isemayo serikali za mitaa ni serikali kwa mujibu wa katiba ibara ya 145-146 zisiingiliwe. nimeona nisemee hili kwasababu nimewahi kuwa diwani kwa miaka kumi na nimekuwa naibu meya wa jiji la mbeya. asante
 
Sijawahi kuona Meya mbovu kama huyu, huku kwenye Kata yake kama maeneo ya Ukonga-Ulongoni A barabara ni mbovu hakuna mfano yeye siku hizi anaishi Upanga na keshaipa kisogo Kata aliyopatia kura. Ni mfano mbaya wa viongozi vijana ambao wamekuwa wanapigiwa chapuo kuchukua madaraka.

Kama kahama kwenye jimbo lake la uchaguzi hapo kafanya kosa kubwa, na hii inatokana na mifumo yetu mibovu ya sheria (yeye bado ni diwani tu anapaswa kuwa kwenye jimbo lake la uchaguzi, asifanye kama wabunge wetu kuhamia mijini na kuwaacha wananchi wakinungunika. Na hili halihitaji kushauriwa ni kuona historia ya kule utokako na ndipo ufanye maamuzi.
 
Unapozungumzia barabara ya ulongoni A ukaacha kutambua juhudi zangu za ujenzi wa daraja(sio caravat) ulongoni A ambapo toka uhuru hata kivuko cha miguu hakikuwepo utakuwa hutendi haki. Kama kweli wewe ni mkazi utafahamu daraja hili halikuwa kwenye mpango nor bajet, tukalazimika kuuhamisha mradi wa ulongoni B kuuleta A , jambo lilowakera wakazi wa ulongoni B na kama ningejali siasa kuliko maendeleo nisingefanya maamuzi haya. Na bado katika kipindi hichohicho 2005-2010 nikafanikiwa kujenga madaraja yote mawili A na B. Pili ueleze watu waelewe kwamba barabara unayoiongelea inapita bonde la msimbazi , na mvua hizi zimeharibu miundombinu mingi zikiwemo barabara na madaraja,gharama za makandarasi ni za juu ndio maana tumeona umuhimu wa kuongeza magreda ili barabara hizi za mitaani ziwe maintained all year round.



Sijawahi kuona Meya mbovu kama huyu, huku kwenye Kata yake kama maeneo ya Ukonga-Ulongoni A barabara ni mbovu hakuna mfano yeye siku hizi anaishi Upanga na keshaipa kisogo Kata aliyopatia kura. Ni mfano mbaya wa viongozi vijana ambao wamekuwa wanapigiwa chapuo kuchukua madaraka.
 
Asante Mbugi,
Wenye masikio watasikia

Jamani Naomba nimsaidie kwa kusema wananchi wanapaswa kufahamu kuwa nafasi ya umeya ni celemonial posts na si executive posts ktk maana ya utendaji. kazi yake kubwa ni kuchair vikao na hatimae kuona halmashauri inakwenda kwa misingi ya maamuzi ya vikao hivyo. swala kama la kumfukuza mkandarasi ni la kisheria zaidi soma sheria yetu ya manunuzi ya mwaka 2004 na marekebisho yake ya hivi karibuni ambapo utaona pale inasisitiza juu ya uwepo wa tenda board ambayo inateuliwa na accounting officer ambaye ni mkurugenzi kama mtendaji. kimsingi huwezi ona anazungumzwa meya, na kwa msingi huo napenda kusema si rahisi kwa meya kumfukuza/kumwajibisha mkurugenzi ama mtendaji yeyote haswa ukizingatia sheria yetu ya utumishi wa umma ya mwaka 2002 na marekebisho yake ya mwaka 2008 kwa misingi kwamba umeya si chombo cha ktk ngazi ya kumwajibisha mtumishi wa umma, haswa ukizingatia level ya appointment kwa mkurugenzi wa jiji ni na manispaa ni Rais mwenyewe ukiacha halmashauri za wilaya ambako mteule wake kwa wakurugenzi ni prime minister kwa mujibu wa sheria no 7na 8 ya serikali za mitaa ya mwaka 1982 revised 2000. muundo wa serikali zetu za mitaa unapaswa kuangaliwa upya haswa ktk mchakato wa katiba mpya tunayotaka kuingalia kwa sasa, ili maombo yaweze kwenda sambamba na matarajio ya wananchi kwa viongozi wao kama madiwani/meya kuweza kuwapatia mamlaka angalau ya kufikia hatua ya kuteua na kuajiri ili waweze kwanamna moja kuwa independent, na kwa namana fulani kuzifanya his local authorities kuwa autonomous. (kumbuka kauli ya baba wa taifa isemayo serikali za mitaa ni serikali kwa mujibu wa katiba ibara ya 145-146 zisiingiliwe. nimeona nisemee hili kwasababu nimewahi kuwa diwani kwa miaka kumi na nimekuwa naibu meya wa jiji la mbeya. asante
 
Jerry

How do you explain and justify pedestrian areas kama hizi kuzibwa?

Pia how do you explain chakula kuuzwa chini kwenye MAJI YA CHOONI pale Mzaa wa Zanaki jirani na DTV?

landplan-icon_0052_3_4Enhancer.jpg
 
[

JerrySlaa(1).jpg

Je ana elimu gani?-Pugu-Olevel(1996-1999), Jitegemee High School-Degree UDSM
Je anato access kwa wapiga kura wake? Kiasi
Je ana ofisi jimboni kwake? Ndio Goms kwenye mabomu
Je anayo website? Sina hakika
Je anayo Facebook page?Ndiyo
Je anapatikana kwenye Twitter? Ndiyo
Je anachukua posho? Sana tu
 
Masomo ya O-level amesoma Pugu Sec.
Wakati akiwa O-level hakuwa na umaaruf wowote na hakuwahi kushika wadhifa hata wa class monitor
UDSM, BSc. Electronics,
Anakaa Gongo la Mboto mwisho wa lami,
Anamiliki bar inayojulikana kama Pugu Hills Pub ambayo ipo hapo hapo Gongo la Mboto mwisho wa lami,

Nitarudi muda si mrefu.....
 
Mh Slaa' unazungumziaje kuhusiana na swala la halimashauri yako kuandaa viwanja vya bei nafuu ili kuondokana na unplanned settlement zinazo endelea kumea kama uyoga?
 
Masomo ya O-level amesoma Pugu Sec.
Wakati akiwa O-level hakuwa na umaaruf wowote na hakuwahi kushika wadhifa hata wa class monitor
UDSM, BSc. Electronics,
Anakaa Gongo la Mboto mwisho wa lami,
Anamiliki bar inayojulikana kama Pugu Hills Pub ambayo ipo hapo hapo Gongo la Mboto mwisho wa lami,

Nitarudi muda si mrefu.....


Kama kila kiongozi akiamua kufanya biashara anafungua bar, hivi kweli wanakuwa wanawatakia heri wananchi wao?

Kwanini viongozi wetu wengi hawawekezi kwenye sekta za afya, elimu, maji na miundombinu ya mawasiliano?
 
Kama kila kiongozi akiamua kufanya biashara anafungua bar, hivi kweli wanakuwa wanawatakia heri wananchi wao?

Kwanini viongozi wetu wengi hawawekezi kwenye sekta za afya, elimu, maji na miundombinu ya mawasiliano?

Sidhani kama nitaku-support tena isipokuwa hii point ya maana sana

Si hayo tu kwanini wasimiliki viwanda (production line) na siyo uchuuzi wa kuchukua bidhaa feki dubai, korea na china??

Tuna tatizo la msingi hapo; ila tatizo linakuwa sisi wazalendo tukiamua kufanya production line serikali kama ya chama chako na pro-nyerereism wanafikiria kutaifisha viwanda na mashamba ya watu..

Viongozi wetu ni wagonjwa wa unyang'anyi na uchuuzi na wamejifunza kutoka kwa mentor wao nyerereism (sorry najua hapa hupendi kusikia maana ni mt. na anakuombea ufutiwe dhambi zako
 
Asante Hossam
Kwa faida ya wapenda maendeleo.
Bsc Electronics & Communication UDSM 2005
Atec II NBAA 2003
Cert in Law UDSM 2005
Siku mbili za kuona wananchi ,Monday & Friday
Kata ya Gongolamboto ni mpya kwa sasa tunatumia ofisi za kata ya Ukonga.
Website ya Council www.imc.co.tz
Namba ya wapiga kura ipo,lakini utaratibu mzuri ni kutumia forum zilizopo kuwasilisha.
Twitter Jerry Silaa
Upo muda maalum wa kukutana na wapiga kura. Kwa ujumla wananchi wanawakilishwa na waheshimiwa madiwani na wenyeviti wa mitaa. Hawa they are free to see me anytime.
Mimi sio mtumishi wa umma, ni kiongozi wa umma na ninadeclear mali na madeni chini ya Tamko kwa mujibu wa sheria ya maadili ya viongozi kila mwaka kabla ya 31st Dec.
Sina mshahara.
Posho 240,000 kwa mwezi na sitting allowance 60,000 kwa vikao ninavyohudhuria with a maximum ya vikao vinne kwa mwezi.
Hayo ya Ilala watajibu wenyewe.
Ilala ni manispaa sio jimbo na upo mango mkakati nitauweka kwenye website.
Sheria ya umaadili ya TZ ni tofauti ya marekani na haitoi fursa ya kudeclear zawadi. Lakini mimi sio mpokeaji mzuri wa zawadi za kiofisi. Integrity yangu kwa wafanyabiashara u can reserch.
Kwa mujibu wa sheria ya uchaguzi ya madiwani ya mwaka 1979 inamtaka udiwani kama shughuli ya kujitolea na diwani anapashwa kuwa na shughuli tofauti na nafasi nyingine za umma, udiwani hauna reflection ya lifestyle. Na kwa kuwa kiongozi wa metropolitan hakuna lifestyle utayoishi ikareflect wananchi wote.
Ushiriki wa shughuli za umma ndio majukumu ya msingi ya kiongozi ws kisiasa. Majibu mazuri ungewauliza waigakura wa Gongolamboto na General Public, majukumu nimengi na pale muda unaporuhusu tunashiriki. Sasa kama kuna mwandishi amecover ukaiita publicity sawa, lakini na yenyewe muhimu ili watu kama nyie muone ushiriki.
Uchaguzi wa 2015 kwa style yangu ya siasa utazungumzwa 2015. Na kwa taarifa yako siasa ya nchi hii what u have done itakupa 20-30 %.
Bajet ya umeya : fomu lak 2, mafuta ya kuzungukia kuomba kura, simu ya logistics + 7m ya udiwani.
Facebook Jerry Silaa

strategic plan ya Ilala iko wapi?
 
mkuu inasemekana kuhusu upokeaji wa zawadi upo juu na ndio maana wanafunzi wa KAMPALA UNIVERSITY MPAKA LEO MMEWAPOTEZEA WW NA SERIKALI YAKO JAPO WAMEOMBA SANA MSAADA WAKO KTK UFUMBUZI WA MATATIZO YAO NA CHUO ICHO CHA MAGUMASHI.....
LAkn mmekuwa kimya kwa kuwa kuna percent flani flani mnapata ili kuzibwa midomo....
Kama si kweli je huelewi kinachoendelea pale chuoni ....
Hivi hata vyuo vyikuu vinairatibiwa na meya wa manispaa?
 
Back
Top Bottom