SONGOKA
JF-Expert Member
- Mar 8, 2012
- 1,836
- 1,845
Wakuu hii kashfa ya MAMA salma na Dada yake kabila ningependa ijadiliwe, tena kama hoja binafsi
Kwanza.
Pili.
Kama huna detail please usiweke za uongo.
Wakuu hii RENZO ukiiangalia vizuri ni RZ ONE (Kuna chochote hapo)
Kwanza.
- Ndugu zetu mnaokaa Dar es Salaam hususani MIKOCHENI, ningependa mtujuze ni kweli maduka haya yapo (RENZO na VIRAGO)?? na kama yapo nikweli yanauza "VITO vya thamani vya madini" na nguo za gharama za "DISIGNERS"
Pili.
- Ni kweli maduka haya hayapo popote kwenye vitabu vya TRA? na hayajawahi kulipa hata senti tano (thumni) ya kodi katika nchi hii?? (najua kuna watu wa TRA hapa JF)
- Je kama kuna yeyote amewahi kununua katika maduka haya, je ulipewa receipt?? wana EFD machine
- kama kuna mwenye ACCESS au anafanya kazi kwa msajili, Je maduka haya yamesajiliwa mmiliki wake ni nani?
- JE First lady au hata WAPAMBE WEAKE, wamewahi kuonekana katika viunga vya maduka haya??
- Je kuna yeyote mwenye taarifa kuhusu huu urafiki wa SALMA KIKWETE na Dada yake KABILA na bisahara za MADINI zisizo rasmi wanazofanya ??
Kama huna detail please usiweke za uongo.
Wakuu hii RENZO ukiiangalia vizuri ni RZ ONE (Kuna chochote hapo)