Window7
JF-Expert Member
- Sep 17, 2013
- 4,109
- 3,054
Hamuwezekani kwa umbea na kuharibia wengine,yakwenu yana poromoka siku hadi siku,yani jinsi nawaona nikama jirani mchawi,sahii pk yuko califonia anatoa lecture kwa wawekezaji,nyie mmekalia eti rwanda wanaiba mawe congo,mmezoea vya wizi ilimtajirike,kwataarifa yako sio maendeleo yote huletwa na wizi.
Operation haijakufikia sio?