RENZO na VIRAGO!! HOJA BINAFSI

RENZO na VIRAGO!! HOJA BINAFSI

USIHANGAIKE NA AKINA COMICAL ALLY wa Tanzania, watabisha chochote ili mradi kinaigusa ile familia inayo wapa mkate.they never think,reason they just draw conclusion without supporting evidences, purely a layman way of presentation.
ok learned bro, now you come with evidence, in regards to what we discuss, ona usivyo na hata lepe la ushahidi ukiachia ushabiki....kamuulize kagame kwanini anaua wapinzani wake na wote tunaona??
 
Like serious tunazungumzia duka la nguo ambalo watu wa michepuko uwafungulia michepuko yao ...she is the first lady for crying out loud hata kama angekuwa ni owner wa Mr Price ya mlimani City hakuna cha kushangaa...

Jamani sisi si wajamaa kwamba kila mtu awe masikini kaputi...

Maduka ni moja tu....
Lakini kuna kukwepa KODI na Maduka kutumika kufanyia biashara haram ya madini a.k. blood minerals
Pia uhusika wa NDUGU YA Kabila....lazima tuhoji mkuu.

Mbona marekani walipomsema yule "MAMA" kuwa ni mfanya biasara maarufu wa madawa ya kulevya walikurupuka haraka kumkamata....was it not from a mare external source.

You should learn to be objective, focused, and improve your analysis skills especially on "root course analysis"
 
wapeni taarifa renzo wajibu maswali hayo ili kuwa safi ktk jamii ya biashara.
 
Maduka ni moja tu....
Lakini kuna kukwepa KODI na Maduka kutumika kufanyia biashara haram ya madini a.k. blood minerals
Pia uhusika wa NDUGU YA Kabila....lazima tuhoji mkuu.

Mbona marekani walipomsema yule "MAMA" kuwa ni mfanya biasara maarufu wa madawa ya kulevya walikurupuka haraka kumkamata....was it not from a mare external source.

You should learn to be objective, focused, and improve your analysis skills especially on "root course analysis"
wewe unaushahidi gani kuhusu uhisuka wa ndugu ya kabila kama si umekaririshwa na andiko la news of rwanda, unless you have evidence huna la ziada kusemea katika hili, majadiliano ya maduka ya nguo ni level za kina mama kuangalia duka lipi ni zuri kwa manunuzi ya kupendezesha mionekano yao, issue ya kodi hata wewe hapo ulipo hulipi inavyokupasa, so kama unaguswa sana na issue ya kodi fuatilia tra
 
ok learned bro, now you come with evidence, in regards to what we discuss, ona usivyo na hata lepe la ushahidi ukiachia ushabiki....kamuulize kagame kwanini anaua wapinzani wake na wote tunaona??
DR.Ulimboka, Dr. Mvungi, Balali, MWANGOSI, ni victim wa KAGAME???? dont meander from the TOPIC...i real doubt if your okay...i wonder if that place in "DODOMA" computers are allowed these day.
 
DR.Ulimboka, Dr. Mvungi, Balali, MWANGOSI, ni victim wa KAGAME???? dont meander from the TOPIC...i real doubt if your okay...i wonder if that place in "DODOMA" computers are allowed these day.
you are a typical product of kagame puppets, all hearsay and cooked facts, but kuhusiana na huyo bosi wako , mambo yapo wazi kabisa
 
Tanzania nchi ya ajabu sana, tumevurugwa akili hata mtu akitustua kwa kutuambia 'tunaibiwa', tuna anza kumbeza na kumtukana! Sijapata kuona nchi ya mazuzu kama hii!

Hoja ya jamaa ina mashiko na walioko huko maeneo ya hayo maduka mtujuze kama yapo na wamiliki wake ni hao na kama kodi hawalipi mtuambie, sio kujibu kilumumba-Lumumba.

Ahsante mleta hoja maana hata sisi wakaa tumepata japo hint.
 
ok learned bro, now you come with evidence, in regards to what we discuss, ona usivyo na hata lepe la ushahidi ukiachia ushabiki....kamuulize kagame kwanini anaua wapinzani wake na wote tunaona??
look here youngman, Kagame anaweza kuwa anafanya makosa na anafanya kweli,lakini hapa JF tunawajibu wa kujibu hoja kwa evidences.kama huna subiri walionazo.jukumu letu hapa ni kujitofautisha na habari za kiudaku! Ni rahisi kuja na counter evidences to prove him wrong.kama tukijua ni uongo tunaweza kusonga mbele na kujiuliza what was his motive behind? kumbuka washirika wa Kagame wamo humu na pengine hata yeye mwenyewe yumo.Kama ni kweli pia tutajiuliza nini anakitaka? pengine anataka aondoe amani ndani ya TISS ili waanze kutafuta nani msaliti au hata ikulu iache kuwaamini baadhi ya watu ndani ya TISS.watakuwa wamegawanyika they will be no longer one! kumbuka jeshi lililogawanyika haliwezi kushinda vita.TUSINGIE KWENYE MTEGO WAKE BLINDLY,Tuchunguze tuwe na ukweli ndio tunaweza kumkabili ki propaganda,hewani na ardhini.hope umenielewa.
 
look here youngman, Kagame anaweza kuwa anafanya makosa na anafanya kweli,lakini hapa JF tunawajibu wa kujibu hoja kwa evidences.kama huna subiri walionazo.jukumu letu hapa ni kujitofautisha na habari za kiudaku! Ni rahisi kuja na counter evidences to prove him wrong.kama tukijua ni uongo tunaweza kusonga mbele na kujiuliza what was his motive behind? kumbuka washirika wa Kagame wamo humu na pengine hata yeye mwenyewe yumo.Kama ni kweli pia tutajiuliza nini anakitaka? pengine anataka aondoe amani ndani ya TISS ili waanze kutafuta nani msaliti au hata ikulu iache kuwaamini baadhi ya watu ndani ya TISS.watakuwa wamegawanyika they will be no longer one! kumbuka jeshi lililogawanyika haliwezi kushinda vita.TUSINGIE KWENYE MTEGO WAKE BLINDLY,Tuchunguze tuwe na ukweli ndio tunaweza kumkabili ki propaganda,hewani na ardhini.hope umenielewa.

inawezekana mkuu wewe ndio hujitambui, yeye anataka evidence amabazo hatutaki kumpa ni bora akabaki kuhisi kuliko kujua uhalisia, na wasiwasi na wewe unachotaka kifanyike, nia yake ni wahusika wafunguke kama wewe unavyotaka wafanye jambo ambalo halitafanyika, pole i am not that naive ndugu naijua michezo ya watu wa namna hiyo, sio mjinga ninavyomjibu huyu ndugu najua nafanya nini,
 
Like serious tunazungumzia duka la nguo ambalo watu wa michepuko uwafungulia michepuko yao ...she is the first lady for crying out loud hata kama angekuwa ni owner wa Mr Price ya mlimani City hakuna cha kushangaa...

Jamani sisi si wajamaa kwamba kila mtu awe masikini kaputi...

Labda Aujanielewa Mkuu, Nimesema. Kama Ni Kweli Hayo Maduka Yapo Its Gud 2. Ni Kweli Yanamilikiwa Na Watu Tajwa(ts Not A Big Deal) 3. Ni Kweli Wanafanya Biashara Tajwa Bila Leseni Na Hawalipi Kodi(kama Hapo Panaukweli Ndio Tatizo) Mleta Mada Aliomba Kama Kuna Watu Wanafanya Tra Na Brela Waje Na Details Pia. Kama Ni Kumiliki Biashala Hata Mimi Ninamiliki Ndio Atakuwa Mama Salma? Inabidi Tujilidhishe Totally Incase Kama Zkija Habari Ktoka News Of Rwanda Tuziignore, Sio Kujiuliza Maswali Yasiyo Na Majibu, Hakuna Kitu Kibaya Kama Kupuuzia Jambo, Hata Kama Limeongelewa Na Adui Yako.
 
Mleta mada kafanya vema kuuliza, na kuuliza sio ujinga. So Jibun hoja sio kushabikia ujinga ujinga tu.
 
umenena mkuu...sababu PROF alishasema 'watoto wao wanauza sembe na hakuna wa kuwakamata'
sasa mkuu Songoka kuunga herufi za renzo ili upate jina ulitakalo wewe si utoto jamani! Mbona wewe pia herufi za jina lako zinaleta'Kasongo'jina la wenyeji wa congo mashariki!.
 
DR.Ulimboka, Dr. Mvungi, Balali, MWANGOSI, ni victim wa KAGAME???? dont meander from the TOPIC...i real doubt if your okay...i wonder if that place in "DODOMA" computers are allowed these day.

Watanzania niwatu wazuri sana,wanapigania haki za wengine lakini hawawezi pigania haki za watanzania wenzao wanaopoteza maisha ovyoovyo mikononi mwa serikali,hawaulizi why watoto wakitanzania wanageuzwa punda na hao wakubwa,lakini wanakua wepesi kumkashifu pk mtu ambaye anajitahidi kuimalisha maisha ya watu wake.
 
Watanzania niwatu wazuri sana,wanapigania haki za wengine lakini hawawezi pigania haki za watanzania wenzao wanaopoteza maisha ovyoovyo mikononi mwa serikali,hawaulizi why watoto wakitanzania wanageuzwa punda na hao wakubwa,lakini wanakua wepesi kumkashifu pk mtu ambaye anajitahidi kuimalisha maisha ya watu wake.

Mukamasimba Tz ni zaidi ya ujuavyo muilize babayo na mamayo waliokaribishwa Tz.Tuna mfumo wetu huo ukimwaga mboga sisi tunamwaga ugali mueleweshe Pk.
Mkishamaliza propaganda zenu sisi tunawaanza kuwaekea facts.
 
WATUTSI mmelianzisha tena!sikilizeni nyie MENDE hamtuwezi WATANGANYIKA,bora mtulie tu.
 
WATUTSI mmelianzisha tena!sikilizeni nyie MENDE hamtuwezi WATANGANYIKA,bora mtulie tu.

Hamuwezekani kwa umbea na kuharibia wengine,yakwenu yana poromoka siku hadi siku,yani jinsi nawaona nikama jirani mchawi,sahii pk yuko califonia anatoa lecture kwa wawekezaji,nyie mmekalia eti rwanda wanaiba mawe congo,mmezoea vya wizi ilimtajirike,kwataarifa yako sio maendeleo yote huletwa na wizi.
 
Mukamasimba Tz ni zaidi ya ujuavyo muilize babayo na mamayo waliokaribishwa Tz.Tuna mfumo wetu huo ukimwaga mboga sisi tunamwaga ugali mueleweshe Pk.
Mkishamaliza propaganda zenu sisi tunawaanza kuwaekea facts.

Hapo ndio mnakosea,mtu akimwaga mboga wewe unatengeneza nyingine bora zaidi na kuendelea kula,sasa ukimwaga ugali njaa itawaua wote,nisawa na kukata tawi ulilo likalia,ndugu yangu rwanda hawakumwaga mboga wala ugari,huo uchizi umefanywa na tanzania,wamemwaga mboga kwa kushirikiana na FDLR na wakamwaga ugali kwa kukosa pesa ya rwanda iliyokua ikiingia bandalini,nahii sakata ya sasa niyakiuchumi zaidi kwani imeathili mapato ya tanzania na in long term itakua mbaya zaidi,inabidi hii tafulani itulizwe haraka kabla huo ugali na mboga za kumwagwa havija kosekana.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom