RENZO na VIRAGO!! HOJA BINAFSI

RENZO na VIRAGO!! HOJA BINAFSI

wewe unapajua mikocheni ama hupajui!? Na kama unapajua kunauzitogani wewe kupita kujionea hayo unayoyauliza hapa maana hayo maduka yapo barabarani kabisa hata kama huna gari daladala tu linatosha maana ukishuka tu unaingia..au kama hupajui sema nikuelekezea
Mdau sio wote wanaishi Dar wengine hawapo Tanzania. Tumia ubongo usioneshe ujinga wako kwa kijifanya mjuaji kumbe muungua jua tu. Huna cha kuchangia tulia soma kisha subiri wenye mawazo na michango wachangie.
 
pamoja na maswali haya, lakini bado mleta mada unaweza kutujuza angalau ujuavyo hayo maswali uliyoyauliza.
 
hivi hamjiulizi kwanini Propaganda zao Rwanda mara zote wana exclude Mh J K kiwete na Tanzania ili wa win cheap propaganda?muda huohuo wanasahau na kumjumuisha PK na Rwanda?
"Huu ni uoga.....ambao madhara yake wanayajua"-hii ndo jibu lake na sio kila unaloambiwa ni la kweli wakuu tumieni medulla oblangata kidogo on this fabrications issues

Mkuu hapa hoja si RWANDA bali ni kujua ukweli kuhusu biashara ya madini na uhusiano wa salma na dadayake kabila na maduka hayo lakini cha msingi ni JE ni kweli hawalipi KODI???????????????/
 
Yapo tena road tu ila sina details maana sijawahi kuingia au kuwepo mitaa hiyo kwa muda mrefu kiasi cha kujua nini kinaendelea hapo.

Kwa Viraza Wote Ambao Wanambeza Mleta Mada. Majibu Yashaanza Kupatikana Kuwa Haya Maduka Yapo

1. Inaonyesha Kwenye Habari Ya News Of Rwanda Kuna Chembe Ya Ukweli Hata Kama Wamepresent Kipropaganda

2. ---- Ukweli Wa Kwanza(uwepo Wa Hayo Maduka Katika Sehemu Husika) Umedhihilika, Kwa Nini Tupuuzie Hoja Nyingine

Mleta Mada Ana Hoja Ya Muhimu Napenda Apewe Ushirikiano
 
hapa kuna hoja ya msingi ambayo inahitaji kujadiliwa. kwa maono yangu tuwaache wenye taarifa za kina kuhusu hayo maduka, wamiliki na pia taarifa za . Tra na brela au entity yoyote inayohusika na usajili. sio lazima uchangie kama hauna grounds
 
hoja yako ni mfu na imejaa hadithi za kumfurahisha kagame na wauaji wenzake

by Lizaboni - Mkuu Stroke, hakika hata mie nimejiuliza maswali kama haya. Hoja yake ina mashiko

yaani we stroke leo hata Lizaboni amekushinda kwa kuelewa kuwa hoja hii ina mashiko.
 
pamoja na maswali haya, lakini bado mleta mada unaweza kutujuza angalau ujuavyo hayo maswali uliyoyauliza.

Mkuu, Hauwezi Ukafanya Research Alafu Alafu Ukatoa Details Hata Kama Unproved Information Ili Kuepuka Element Of Biased. Mf. Una Cndct Research Chd Na Ccm Kipi Kinapendwa Alaf Ukasema Nionavyo Mimi Ccm Iko Juu. Unategemea Nini? Mleta Mada Kaja Na Guidelines Ambazo Zitakuongoza Kuleta Details Na Ndivyo Inavyofanyika. Ame Refer News Of Rwanda Kama Research Revew Yake. Tusiwe Wabishi Kama Atuelewi Tukae Kimya
 
hoja yako ni mfu na imejaa hadithi za kumfurahisha kagame na wauaji wenzake

imbechili@work

tunafumba macho kijinga sababu ya kukosa kufikiri

acha watu wajadili then kama hakuna ukweli itadhihirika
 
Na kwa hili inawezekana hata SEMBE inauzwa hapo kwani kama wahusika ni hao waliotajwa hakuna Polisi wala Usalama wa Taifa anayeweza kupafanyia kazi hapo.
 
Nan kakwambia kila member anakaa dar mkuu??? asante kwa kunijuza kuwa yana exist, labda unajua kuhusu hayo mengine tunayohoji??
sawa wengine hawakai dar sikuona sbb ya watu kunishambulia na matusi..in short hayo maduka ya nauza manguo ya mavitenge na mabazee na jingine wanauza magauni ya usiku na kawaida hamna nguo zozote za design sidhani kama nguo ya design unaweza kuinunua kwa laki 2 mpaka 3 naiyo ishu ya vito hamna vito vyovyote vinavyouzwa humo ni mashanga tu ya kawaida ya kichina..kwa wale wanaoishi dar wapite wajionee wenyewe sio blabla hapa .mimi huenda pale kama nina sherehe ya harusi nataka kununua nguo so si muendaji sana mengine siyajui
 
Mkuu hapa hoja si RWANDA bali ni kujua ukweli kuhusu biashara ya madini na uhusiano wa salma na dadayake kabila na maduka hayo lakini cha msingi ni JE ni kweli hawalipi KODI???????????????/

hiyo hoja umeijulia wapi na lini na nani amekuambia kama sio article ya warwanda?...........which means ungeambiwa kitu chiochote cha hatari kwa akili yako ungekubali tu,kwani wanyarwnda ikitokea wakamzuru JK nani atadhurika na kugharamika?
Tutangulize utaifa mbele ndugu.........hizo ni element za u traitor!!huwa najiuliza sana wakoloni wangekuwepo hadi leo sijui nani angelikomboa hili taifa maana propaganda hata ambayo haina kiwiliwili people take into consideration,soma hapa chini uone jinsi dunia inavyoendeshwa
The Protocols of the Elders of Zion - Wikipedia, the free encyclopedia
 
hiyo hoja umeijulia wapi na lini na nani amekuambia kama sio article ya warwanda?...........which means ungeambiwa kitu chiochote cha hatari kwa akili yako ungekubali tu,kwani wanyarwnda ikitokea wakamzuru JK nani atadhurika na kugharamika?
Tutangulize utaifa mbele ndugu.........hizo ni element za u traitor!!huwa najiuliza sana wakoloni wangekuwepo hadi leo sijui nani angelikomboa hili taifa maana propaganda hata ambayo haina kiwiliwili people take into consideration,soma hapa chini uone jinsi dunia inavyoendeshwa
The Protocols of the Elders of Zion - Wikipedia, the free encyclopedia

Ni ugumu wa kuelewa au ubishi mkuu?????????????? Natambua kuhusu RWANDA na taarifa zao za magazeti...LAKINI hoja yangu si kujadili rwanda bali ni kujua ukweli kuhusu umiliki wa MADUKA HAYO NA PIA USHIRIKI WA MAMA SALMA KATIKA BIASHARA YA MADINI. kama una information zinazo prove wrong or right weka. Hanmna mwenye nia ya kubishana hapa.

Hope you understand brother...otherwise be a spectator.
 
Hili ni duka moja lakini lina majina mawili…hata mlango wa kuingilia ndani ya duka ni mmoja tu.
Pia ni kweli hili duka liko mikocheni jirani kabisa na nyumba ya Rais mstaafu mzee Mwinyi.

Before ya hili duka la Renzo aka Virago…kulikuwa na Salon ya kike ikiitwa Renzo Salon.
Hayo mengine sijui ya kuuza dhahabu na kutolipa VAT siyajui kabisa
 
Na kwa hili inawezekana hata SEMBE inauzwa hapo kwani kama wahusika ni hao waliotajwa hakuna Polisi wala Usalama wa Taifa anayeweza kupafanyia kazi hapo.

umenena mkuu...sababu PROF alishasema 'watoto wao wanauza sembe na hakuna wa kuwakamata'
 
Like serious tunazungumzia duka la nguo ambalo watu wa michepuko uwafungulia michepuko yao ...she is the first lady for crying out loud hata kama angekuwa ni owner wa Mr Price ya mlimani City hakuna cha kushangaa...

Jamani sisi si wajamaa kwamba kila mtu awe masikini kaputi...


Kwa Viraza Wote Ambao Wanambeza Mleta Mada. Majibu Yashaanza Kupatikana Kuwa Haya Maduka Yapo

1. Inaonyesha Kwenye Habari Ya News Of Rwanda Kuna Chembe Ya Ukweli Hata Kama Wamepresent Kipropaganda

2. ---- Ukweli Wa Kwanza(uwepo Wa Hayo Maduka Katika Sehemu Husika) Umedhihilika, Kwa Nini Tupuuzie Hoja Nyingine

Mleta Mada Ana Hoja Ya Muhimu Napenda Apewe Ushirikiano
 
nataka tujadili ile coltan ya kongo huwa rwanda wanaipeleka wapi?? tuachane na porojo hapa za viduka, wewe mpaka uambiwe na kagame miles away uje kutushupalia hapa, kwanini wewe usitafute muda uende TRA ukaulizie kama mmiliki analipia kodi, au nenda brela kaulizie umiliki wa kampuni hizo, kuliko kutupotezea muda hapa kutuuliza sijui nini na nini , kwa kua kagame kasema, nauliza dhahabu, almasi na coltan ya drc inafanya nini kigali, nijibu
 
Mkuu msingi wa hoja yangu ni kujua UKWELI wa hii kashfa ndo maana nimekuwa very specific katika detail. Kama M

USIHANGAIKE NA AKINA COMICAL ALLY wa Tanzania, watabisha chochote ili mradi kinaigusa ile familia inayo wapa mkate.they never think,reason they just draw conclusion without supporting evidences, purely a layman way of presentation.
 
nataka tujadili ile coltan ya kongo huwa rwanda wanaipeleka wapi?? tuachane na porojo hapa za viduka, wewe mpaka uambiwe na kagame miles away uje kutushupalia hapa, kwanini wewe usitafute muda uende TRA ukaulizie kama mmiliki analipia kodi, au nenda brela kaulizie umiliki wa kampuni hizo, kuliko kutupotezea muda hapa kutuuliza sijui nini na nini , kwa kua kagame kasema, nauliza dhahabu, almasi na coltan ya drc inafanya nini kigali, nijibu

Kwa nini usijiulize TANZANITE ya tanzania inafanya nini SOUTHAFRICA????? poor mind
 
Kwa nini usijiulize TANZANITE ya tanzania inafanya nini SOUTHAFRICA????? poor mind

uwezo wako kiakili ni mdogo sana katika kujadili issues ndio maana umechagua kujadili maduka ya nguo...
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom