Rene Meza

toby ziegler

Senior Member
Aug 20, 2011
105
57
Jamaa alipokuwa Airtel Kenya aliwachachafya sana Safari Com sasa Voda wameamua kufanya mapinduzi. wamemleta huyu Tanzania ..lakiini msisahau kuwa Safaricom iko owned na Vodafone International ...game of thrones perhaps?
 
jamaa kichwa, mianya yote kulee, wazee wa 10% wote out!!!! leo watu wanakula bata Golden Tulip kusherehekea mafanikio ya EBIDTA
 
Ameingia Vodacom kawafukuzisha wazembe wote. Watu walikuwa na vyeo vya ajabuajabu na mishemishe za kijanja kazifagilia mbali.

Magari ya Vodacom yalikuwa yamepamba mitaa ya nchi hii. Sasa hivi hesabu mtaani uone kama utakutana na gari zina nembo ya Vodacom. Chache kweli na ni za kuhesabu na hata ukziona ziko choka mbaya.
..Nchi ya kitu kidogo, utajiri wa fasta fasta, ujanja ujanja......Nakulilia Tanzania. Go ahead Rene Meza. Fukuza woote, tuanze upya

Wengi wameacha kazi kutokana na sera yake ya kubana matumizi anayoiita EBIDTA.

Juzijuzi niliona mfanyakazi mmoja wa Vodacom akipanda bodaboda nikauliza kulikoni akanijibu wee wacha tu mambo ni balaa.

Vodacom si mahala pa kukimbilia tena, na mtu akifanya kazi Vodacom mhurunie badala ya kumsifia. Hapafai. Huyu jamaa hafai.
..Nchi ya kitu kidogo, utajiri wa fasta fasta, ujanja ujanja......Nakulilia Tanzania. Go ahead Rene Meza. Fukuza woote, tuanze upya
 
Full adabu na heshima....Jamaa nasikia ana target kubwa sana kwenye market share atafikia 55% ni balaaaa anawaburuzakinomaaaaa
 
Ameingia Vodacom kawafukuzisha wazembe wote. Watu walikuwa na vyeo vya ajabuajabu na mishemishe za kijanja kazifagilia mbali.

Magari ya Vodacom yalikuwa yamepamba mitaa ya nchi hii. Sasa hivi hesabu mtaani uone kama utakutana na gari zina nembo ya Vodacom. Chache kweli na ni za kuhesabu na hata ukziona ziko choka mbaya.

Wengi wameacha kazi kutokana na sera yake ya kubana matumizi anayoiita EBIDTA.

Juzijuzi niliona mfanyakazi mmoja wa Vodacom akipanda bodaboda nikauliza kulikoni akanijibu wee wacha tu mambo ni balaa.

Vodacom si mahala pa kukimbilia tena, na mtu akifanya kazi Vodacom mhurunie badala ya kumsifia. Hapafai. Huyu jamaa hafai.

Unazungumzia department gani? Maana kuna jamaa yangu anakula bata la kufa mtu hapo kama kawa.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom