Remix ya wimbo wa Diamond (kimya)

Remix ya wimbo wa Diamond (kimya)

Huu ndio wimbo sasa.

Sio yule boya wa Madale aliejazwa unafiki,husuda na roho mbaya kwa watanzania wenzie kisa kapewa pesa mbuzi
 
usifanye vitu kwa miemko ndugu yangu uku wewe ustahili mwachie ney na roma we endelea na mapenzi na kukata viuno stajini kaka
 
lara 1 wewe ajuza kumbe upo? stress zako za maisha unazihamishia kwa Diamond....huna hadhi hata ya kuwa house girl wa diamond...
 
I dont care about his message.....I do care about his voice....dogo ana sauti nzuri balaa...anaitwa nani?
 
Inawezekana huu ndo nlikuwa orginal alipomsikilizisha bashite ukafanyiwa edit...
 
Huyu msaani ndo SIMBA sio kile kipaka shume, kujikomba kwa Bashite daily. SHAMELESS SOUL. Anaona sifa kutafuta kiki mpaka kwa Lucifer, eti Simbamson ! Mtoto wa Kiislamu unakaba kiki mpaka kwa shetani, mxiuuuu! Leo Simbamason kesho anajenga msikiti. Labda Nyaumason.

Dogo japo umeiba hhii biti na intellectual property ila MESSAGE YAKO TUMEIPOKEA SANA. We live in desperate times so desperate measures are inevitable.

 

Similar Discussions

Back
Top Bottom