Remix ya wimbo wa Diamond (kimya)

Remix ya wimbo wa Diamond (kimya)

Hivi ukitaka kuwa nayo hii unafanya vipi Yani?
Pia na ile ya kumtafuta Roma tunaipataje ili tudownload
Install app itwayo Tube mate kupitia google not play stall, kisha utakuwa uko tayari kupata vitu vikali kama hvi
 
Yap uko vuzuri huu sasa ndio naweza nikadownload niungurumishe kwenye sabufa langu sio ule origino
 
  • Thanks
Reactions: PNC
Saivi kuna vitu inabidi mkiwa mnadai muwe mnaandika majina yenu tu.Mambo ya kusema inawajali watanzania wakati me siikubali inamaana me ni mrundi.Hii movie ya kisiasa kaeni wanasiasa tu acheni watu watafute hela vyeti haviondoi umaskin.
 
Huyu dogo aweke sehem linki tununue wimbo wake. Watanzania tupo tyar kumpa suport
 
Saivi kuna vitu inabidi mkiwa mnadai muwe mnaandika majina yenu tu.Mambo ya kusema inawajali watanzania wakati me siikubali inamaana me ni mrundi.Hii movie ya kisiasa kaeni wanasiasa tu acheni watu watafute hela vyeti haviondoi umaskin.
Wewe ambaye ambaye unajifanya huna muda na mambo ya siasa humu umefata nini? Umetafta pesa sasa una sh ngapi?
 
Duh siku hizi watanzania tumekuwa na viherehere sana

Kila MTU amekua na kiherehhere
Wasanii viherehere
Wabunge viherehere
Wandishi viherehere
Wachungaji viherehere
Muda wa kujenga nchi unakuwa haupo

Watu wanatamani kuishi kama Sudan naona Uhuru umezidi vya kutosha

Nchi hiii shetani ameamua kutumia mitandao na wachungaji Pamoja na waandishi wa habari.
Haiwezekani wachache hawa wawatumbukize mamilioni ya wtz kwenye shida wazibitiwe ipasavyo
Mbona akina kiba,benpol na wengine kibao hawana viherehere
Wasanii siasa itawaponza acheni kutumika kisiasa,
Tupendane hizi sifa tunazotafuta usifikirie wazungu wanatuona eti ni mashujaa sisi ng'ooo
Kuna watu wanatumia gharama kuchafua nchi hii tu
Eti kwa sababu maisha yamekuwa magumu.
Ni bora punda afe mzigo ufike.
Uhuru umezidi watu kusema kweli? acha hizo ndugu baadhi ya professional zipo ili kutetea wanyonge waandishi, wanasheria, wanasiasa lengo la kazi zao ni kutetea wasio na sauti. Ndio maana mtu asipofanya hivyo anakuwa hafanyi kazi yake vizuri. hebu chunguza muziki wa south utajua kwanini wanaimba vile mara zote.
 
Huu ni wimbo bora wa mwaka. Aandae namna ya kuuza hata kimtandao umpatie haki yake atoke kabisa. Nitaununua kama ambavo nanua bia kila siku.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom