Relationship is a team work, wanawake msiyachukulie mahusiano kama sehemu ya kutatua matatizo yenu ya kiuchumi

Mtu ambaye anawaza kwa sh500 atakuwa na hela ya lorry kweli?
 
Wengi walipigana vita vya maji maji na vya uganda species hizo zikapotea zimebaki hizo zingine acha tushughulike nazo kisawasawa.
 
ٱلرِّجَالُ قَوَّٰمُونَ عَلَى ٱلنِّسَآءِ بِمَا فَضَّلَ ٱللَّهُ بَعۡضَهُمۡ عَلَىٰ بَعۡضٖ وَبِمَآ أَنفَقُواْ مِنۡ أَمۡوَٰلِهِمۡۚ فَٱلصَّٰلِحَٰتُ قَٰنِتَٰتٌ حَٰفِظَٰتٞ لِّلۡغَيۡبِ بِمَا حَفِظَ ٱللَّهُۚ وَٱلَّٰتِي تَخَافُونَ نُشُوزَهُنَّ فَعِظُوهُنَّ وَٱهۡجُرُوهُنَّ فِي ٱلۡمَضَاجِعِ وَٱضۡرِبُوهُنَّۖ فَإِنۡ أَطَعۡنَكُمۡ فَلَا تَبۡغُواْ عَلَيۡهِنَّ سَبِيلًاۗ إِنَّ ٱللَّهَ كَانَ عَلِيّٗا كَبِيرٗا

(Dr. Mustafa Khattab)
Men are the caretakers of women, as men have been provisioned by Allah over women and tasked with supporting them financially. And righteous women are devoutly obedient and, when alone, protective of what Allah has entrusted them with. And if you sense ill-conduct from your women, advise them ˹first˺, ˹if they persist,˺ do not share their beds, ˹but if they still persist,˺ then discipline them ˹gently˺. But if they change their ways, do not be unjust to them. Surely Allah is Most High, All-Great.

(Ali Muhsin Al-Barwani)
Wanaume ni wasimamizi wa wanawake, kwa kufadhiliwa na Mwenyezi Mungu baadhi yao juu ya baadhi, na kwa mali yao wanayo yatoa. Basi wanawake wema ni wale wenye kut'ii na wanao jilinda hata katika siri kwa kuwa Mwenyezi Mungu ameamrisha wajilinde. Na ambao mnachelea kutoka katika ut'iifu wanasihini, muwahame katika malazi na wapigeni. Wakikut'iini msiwatafutie njia ya kuwaudhi bure. Hakika Mwenyezi Mungu ndiye aliye juu na Mkuu.

-Surah An-Nisa', Ayah 34

Mkuu hiyo ilishapangwa ...labda mwanamke mwenyewe atake kukusaidia, coz inaongeza upendo na huruma baina yenu. Ila akiamua kukausha hana makosa
 
Mtu ambaye anawaza kwa sh500 atakuwa na hela ya lorry kweli?
Fanya hivi hiyo mia tano unasoma mchezo??? ....... najua atakuwa mfanya kazi of course km umesoma utaoa msomi tu!! sababu ndo unao kutana nao mara nyingi huko shuleni na makazini!!

sasa hao wanakopesheka bana! kwenye mabenki huko!!...Mlie timing tu!!!....mbona hapo utajiri tele mwana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…