Rekodi mpya Tanganyika baada ya miaka 62

Anaenda kujichimbia kwanza kisha aje kutembeza spana moja moja
 
Tukiwa wadogo miaka ya 60 hivi. Kipindi kile hata mkipigana hakuna cha mtu kwenda polisi wala ndugu yake mahakama. Matatizo yalikuwa yanamalizwa na wanazengo kwa ama upigwe faini au mzazi apige faini kama uliyetenda kosa ni mdogo.

Kama mtu anakuzidi nguvu kulikuwa na mbinu mbili tu.
1. Kumfanyia timing unapiga hedi ya usoni. Hapo lazima aende chali na uso kuvimba. Unabeba shati lako huyoooo. Mashabiki wanabaki kushangilia na wapambe wako unaongozana nao.

2. Unabeba jiwe ama rafiki yako anakubebea kisirisiri. Unaenda kumchokoza adui. Akichokozeka, dakika tu unampiga jiwe usoni au kisogoni akikupa mgongo then unasepa zako na mashabiki wako unamwacha anajipangusa damu.

Swali: Polepole katumia mbinu ipi hapo kumtwanga bosi wake ???
 
Naomba uwe makini kusoma haya majinaπŸ˜†

1.Padri ,aliesoma mzumbe akawa mwambata Rwanda now yupo ngorongoro
2.Askofu Mara yupo Nida Mara bank kuu
3.Police alafu diwani alafu anazuia Rushwa
4. Musowero
Namba 2 alipokewa kijiti na namba 3 kutoka kaskazini mwa Tanzania ila hao wengine sijaelewa
 
Kampiga jiwe na utosini. Mwamba kateleza huyoooo..
 
Naomba uwe makini kusoma haya majinaπŸ˜†

1.Padri ,aliesoma mzumbe akawa mwambata Rwanda now yupo ngorongoro
2.Askofu Mara yupo Nida Mara bank kuu
3.Police alafu diwani alafu anazuia Rushwa
4. Musowero
Hii code sijailewa mkuu sijui ni madungu yashakaa kichwan
 
Kumfanyia timing unapiga hedi ya usoni. Hapo lazima aende chali na uso kuvimba. Unabeba shati lako huyoooo. Mashabiki wanabaki kushangilia na wapambe wako unaongozana nao.πŸ˜‚
 
hamuogopi wahuni humu?
 
Mlimpeleka Kyuba wenyew sasa tulizeni awafumue marinda, maana kyuba sio kiziπŸ‘ŒπŸ½ mkazi watu wanavaa misuli na bila kipande cha jeans
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…