BabyGal
Senior Member
- Jun 30, 2011
- 165
- 62
Hiyo inaelewa kwasababu inajieleza tofauti. Kama unajimu sicho ulichomaanisha hayo mambo ya nyota sijui za mapenzi ungeyaweka kando.Tatizo lako wewe unawaza mambo ya unajimu sana. Ukisikia mtu kasema "yule ni nyota wa filamu" we utawaza unajimu?