Bora ww umeliona hilo kakangu,
Mapenzi yetu ni ya dhati na ya kudumu tena wakati wote wa shida na raha!
Nimemwambia mme wangu aniachie Eric nimjibu kwa niaba yake coz ni shemeji yangu!
Khaa! Jina tu! Hadi kamati ikae ?
Si mumempe jina la uncle wake Boflo ? Incase a baby w'l be He , if SHE mkiniomba nipendekeze ntafanya hivyo.
Hhaahahha,hahahhaHahahaaaa anamsaidia jamaa
Wala hatuna shida kakangu hapa ni raha mwanzo mwisho,hahahahaha...na kweli..mko katika shida sasa..dada angu..wala usife moyo..mke kazi yake kumliwaza mzee..
Samahani shemeji.....Hhaahahha,hahahha
Jamaaa au mme wangu!!!!
Shemejiiiiiii,usipokua makin nitakustopisha kuja kwangu ebo!!!!
Wala hatuna shida kakangu hapa ni raha mwanzo mwisho,
Mda huu nampa cha mchana lol!
Teh ni wajibu wake eeee
Hahahaaa inaonekana Ritz bado una nguvu na bado unaamini mtashinda tu..Popote ulipo kamanda wangu Rejeo, wewe ni shujaa najua muda wowote utajitokeza...tupo pamoja sana kwenye mapambano leo Magwanda yamefurahi kila jukwaa yanashangilia ushindi wa Arumeru Mashariki...
Hahahaaa Canta ana vituko....au anataka apate mapacha?
Dah Kongosho uko juu sana kimawazo na mtizamo...Dear Rejao,
Kushindwa mara moja si kushindwa kila siku.
Na kukubali matokeo na kujitokeza ni ukomavu pia
Si kwamba tunakupenda sababu chama unachokipenda kinashinda chaguzi
Tunakupenda sababu you are a good friend to us.
Kuona mahasimu wako wakishangilia nayo ni experince
Itakufanya ufurahi mara dufu siku chama unachoshabikia kikilitwaa hili jimbo tena.
Hebu njoo huku tuwapongeze walioshinda, kama anavyofanya rits.
Wasalaam,