rosemarie
JF-Expert Member
- Mar 22, 2011
- 6,887
- 3,412
wakuu
Hawa member wamepotea ghafla hapa jamvini kulikon?inawezekana ni Id za mtu mmoja?'umegundua hilo?je hawa watu wanaweza kuwa na uhusiano fulani??au je ni kweli ni wafanyakazi wa Nape kama ilivyodaiwa hapa jamvini??labda wamechoka na kibarua ambacho hawapendi ila wanasukumwa na nguvu ya pesa??mimi nawafatilia sana japo sio kila wakati''inawezekana vipi wapotee kwa pamoja??
Hawa member wamepotea ghafla hapa jamvini kulikon?inawezekana ni Id za mtu mmoja?'umegundua hilo?je hawa watu wanaweza kuwa na uhusiano fulani??au je ni kweli ni wafanyakazi wa Nape kama ilivyodaiwa hapa jamvini??labda wamechoka na kibarua ambacho hawapendi ila wanasukumwa na nguvu ya pesa??mimi nawafatilia sana japo sio kila wakati''inawezekana vipi wapotee kwa pamoja??