Saint Ivuga
JF-Expert Member
- Aug 21, 2008
- 54,363
- 58,386
masaburi ndo nini?
masaburi ndo nini?
mavitu wanayotumia ccm kufikiriamasaburi ndo nini?
<br />wote kweli wantumia masaburi kufikiria..Naona hata walivyokaa ktk kusukuma gari.Tena eti ndo washauri wa kuu kth hiyo Wizara....KAZI KWELI KWELI
mwe......................sio tu kufikiria hata kusukuma gari ambalo limepiga breki..
wapo kazini hao jamaniHahaha kazi ipo!
Binadamu wote hata siku moja hatuwezi kuwa sawa.Tatizo la Rejao anajilazimisha kutoelewa kitu kwa makusudi tu,ili watu waanze kubishana pasipo sababu maalumu na hatimaye wengine wanakula ban.
Kwahiyo unakubali kuwa unaongozwa na watu wanatumia hicho ulichokisema?mavitu wanayotumia ccm kufikiria