Changamoto2015
JF-Expert Member
- Oct 1, 2012
- 773
- 313
Hii kampuni imeanzishwa November 2013. Kwa sasa inamiliki shares kwa asilimia 3.3% Swala energy, hii ni kampuni ya kutoka Australia. Kampuni hii ya bwana Reginald Mengi inakuwa miongoni mwa top 20 investors ikishika nafasi ya tatu.
Sasa uki connect dots utagundua kwanini kelele zinazidi juu ya ushirikishwaji wa wazawa kwenye sekta ya gesi.
Sasa uki connect dots utagundua kwanini kelele zinazidi juu ya ushirikishwaji wa wazawa kwenye sekta ya gesi.