Amiliki
JF-Expert Member
- May 6, 2011
- 2,085
- 1,005
Hii nimeikuta kwenye tweet ya Dr. Mengi leo;
@regmengi: "Rushwa imekithiri, maadili yameporomoka"Mangula. Lakini mh. wahusika wanajulikana. Tatizo ni nani amfunge paka kengele ?
MY TAKE:
Imeandikwa, Nikiwazuia hawa kuimba, basi mawe na miti vitainuka na kuanza kuimba. CCM mjifunze kitu sasa.
@regmengi: "Rushwa imekithiri, maadili yameporomoka"Mangula. Lakini mh. wahusika wanajulikana. Tatizo ni nani amfunge paka kengele ?
MY TAKE:
Imeandikwa, Nikiwazuia hawa kuimba, basi mawe na miti vitainuka na kuanza kuimba. CCM mjifunze kitu sasa.