Money Stunna
JF-Expert Member
- Aug 9, 2011
- 13,053
- 6,328
toka 1995 nchi inaongozwa na mafisadi
Mengi naye ni fisadi asitudanganye, angalia taarifa za kituo chake cha ITV inavyopendelea mafisadi.
nazani Mengi anamungelea El
Anajitokeza taratibu mwisho wa siku katiba ikiruhusu mara huyooo kwa tiketi ya mgombea binafsi[/QUOTE
Reginald Mengi hana mpango wa kugombea u raisi wala ubunge. Angehutaji angekuwa ashafanya hivyo zamani
Mengi ni mnafiki na mwongo hana lolote, anajua kabsa maslahi yake yatakuwa rehani, kwani nani hakumbuki chuki yake kwa Mkapa na Lowassa!!!! nani hajui kuwa naye alihusika kushawishi kufilisiwa kwa NBC kwa manufaa binafsi!!!!! nani hajui alipata free exemption wakati wa Mbilinyi akiwa waziri wa fedha bila kulipa chochote kwa kigezo mfanyabiashara mzalendo..
kama Mengi mzalendo bado anasuburi nin ccm?? huyu mzee ni mnafiki na mwongo hasa kwa hiv kauli zake kwamba nchi hii inafisadiwa na watu wa nne hivi ina maana haya madudu ya kwenye halmashauri na upuuzi mwingine mwingi ni hao watu 4!!!!! aache chuki, kama ana uzalendo kwanin asiende mahakamani??? Mengi mwenyewe ni adui wa taifa hili, kwa ubinafsi, kupenda sifa na chuki.. Mengi anajiona mwema sana ila hakumbuki ile kesi ya yule mama mzungu aliyemuumbua kule uingireza baada ya yeye na mdogo wake kutaka kumdhulumu shamba, naye ni mchafu kama wachafu wengine.
hivi huu umaskin watz umeanza leo?? nadhani hata hao wa 4 wanaoitwa mafisadi waliukuta, tuache kuhubiri chuki kwa rangi au husida kama afanyavyo Mengi ila tuseme wazi matatizo ya nchi yetu bila kuwa wabinafsi na wanafiki kama Mengi.
My take. tatizo la nchi hii si mtu ni mfumo mbovu kuanzia juu mpaka chini na tunaitaji mtu anayejua tatizo plus suluhisho ndo tutaenda pamoja na ukombozi wa kifikira ila si maneno ya Mengi, in short ni ujinga
Mwenyekiti wa makampuni ya IPP bwana Reginald Mengi amesema kwa hali ya kisiasa inavyoendelea ipo siku mafisadi wataongoza nchi kwa kuwa mpaka leo hawajachukuliwa hatua zozote za kuwakamata na kuwafungulia mashataka. Na serikali imekaa kimya