Reginald Mengi amwaga Bilioni kwa WAMA

Reginald Mengi amwaga Bilioni kwa WAMA

nadhani hayo ni majibu ya mengi kwa waziri kuwa hakuna watz wenyeuwezo wa kuwekeza kwenye gesi, pesa bwana ni sabuni ya roho hadj mr. president anamsifia
 
Nampongeza mzee Mengi kwa moyo wake wa kujitolea kwa mali halali

Sawa ila ngumu kidogo kwa upande wa pili hasa kwa wafanyakazi wake mafao, niliwahi kukutana nae kuhusu issue 1 ngumu kidogo kuiweka wazi.
 
Back
Top Bottom