HAKIKA SISI WOTE NI WAJA WA ALLAH NA KWAKE NI MAREJEO
''Kuna ajali imetokea Ruvu ambapo gari la mbunge maalum wa Chadema jimbo la Kilombero Regia Mtema limegonga coaster na kusababisha kifo kwa mbunge huyo. Taarifa kutoka Kibaha zinasema mida hii mwili wa mbunge huyo ndio unaingia katika mochwari ya Tumbi, Kibaha.'' SOURCE lukwangule entertainment
Ee mungu wangu kumbe ni kweli!:yawn: jamani! jamani! sijui siku ya leo itakuwaje kwangu mimi alikuwa ni jembe langu la ukweli kalale pema peponi Kamanda.
Mungu wanguuu!!! May her soul RIP.Regia umetutoka wakati bado twakuhitaji katika wakati huu mgumu kwa Taifa letu.IMENIUMA SANA KWA KUMPOTEZA MTU MAKINI NA SHUPAVU
Eeewe Mwenyezi Mungu.. Tujaalie roho ya Subra na uvumilivu katika kipindi hichi kigumu....Hakika jina lako li Imidiwe Milele...Ulitoa na umetwaa tena!! Daaaaaaah!!!