Regia Mtema is No More!

Status
Not open for further replies.
Ee mungu wangu kumbe ni kweli!:yawn: jamani! jamani! sijui siku ya leo itakuwaje kwangu mimi alikuwa ni jembe langu la ukweli kalale pema peponi Kamanda.
 
Nilidhani labda niko usingizini naota kumbe.........
RIP mpiganaji Regia.
Du.
 
Ni kweli Dada Mtema hatunae tena kuna mtu kanijulisha sasa hivi!!!!
 
lo mtu mzima machozi yananitoka kumpoteza mpiganaji wetu jamani hivi ni kweli? Why God?
 
Ngoja nikalale i cant take take it any more members
 
Mungu wanguuu!!! May her soul RIP.Regia umetutoka wakati bado twakuhitaji katika wakati huu mgumu kwa Taifa letu.IMENIUMA SANA KWA KUMPOTEZA MTU MAKINI NA SHUPAVU
 
Ni kweli amefariki Regia.Nimepata uthibitisho kutoka makao makuu.My Lord.Rest in Peace Regia.
 
Ahhhh aise ni ngumu kukubaliana na hili
Ahhh Kamanda Mumgu aipumzishe roho yako mahali pema
 
Eeewe Mwenyezi Mungu.. Tujaalie roho ya Subra na uvumilivu katika kipindi hichi kigumu....Hakika jina lako li Imidiwe Milele...Ulitoa na umetwaa tena!! Daaaaaaah!!!
 
dah, juzi tu ulianzisha uzi hapa jf kutaka kero zetu ambazo ungependa mkaongelee bungeni! Leo umekufa! kweli KIFO HAKINA HURUMA, REST IN PEACE.
 
Ni pigo kwa Chadema...Mungu ailaze roho yake mahali pema..Amina
 
May Her Soul Rest In Eternal Peace. Amen.

Steve Dii.
 
Oooh my God! May her soul rest in external peace. Amen.
 
hii taarifa imenifanya nianze kujihoji'kumbe maisha ya binadam ni mafupi kiasi hiki?mungu mpe pumziko la milele!
 
Status
Not open for further replies.
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…